Hapana hiyo mechi isingeisha draw kama asingemtoa Hazard. Nimeangalia dakika 15-20 za mwisho na sikuona sababu ya Kumtoa Hazard kabisa, tactical tena, labda angekuwa majeruhi.
Halafu unamuacha Morata ndani. Hii tabia inavunja wachezaji wengine morali. Sijajua labda kwenye mazoezi anafanya bora zaidi ama ni nini shida yake hasa.
Na Bakayoko wenu. Kwangu mimi hawa wangefaa msimu ujao ila msimu huu tungeendelea na tia maji tia maji yetu ya msimu uliopita halafu hao waingie kutokea benchi mpaka watakapozoea ligi na kuzoeana na wenzao.
Umeona ambavyo Rudiger na Christensen walivyofit vyema?