Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya kuikosa game kutokana na TANESCO kufanya yao nimetoka kuangalia Highlights mida hii.
Alvaro Morata hakika katukosea sana unakosaje one on one zaidi ya mara mbili?
Sikuelewa kwanini Conte alimtoa Fabregas at 1-1 mchezaji ambae katengeneza chances nyingi zaidi uwanjani anyway mlioangalia mnaweza kunisaidia au tufanye alitaka kufanya midfield iwe compact kuhusu Eden Hazard unamtoaje at 1-1? Your best player unamtoa when the business is not yet finished? Sina maana Willian ni mbovu au hakupaswa kuingia.
[HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]
 
Mnapewa penalti nyepesi bado mnalalamika hamkujua kuwa mlistahili kunyolewa leo??????? Halafu Costa Costa nyie wanachelsea baada ya man u mnafuatia kwa unaaa

Nawaambia hachomoki mtu emirates kuanzia sasa.
Kazi ndo imeanza.....,tunawasubir kalabao.....ss ndo wakoloni wenu dadeki!!!!!
 
Hahaa.. Mkuu wewe si ndio ulisema utaninyoa.? Sijaona ulichofanya pamoja na ubutu na ubovu wetu katika ushambuliaji. Hakuna cha maana ulichofanya
Umepewa penalti laini......,lucky for you,the referee was on your side.....,calabao ntakunyoa mpaka hutoamini.....,c unamjua arsenal lakini???????
 
Umepewa penalti laini......,lucky for you,the referee was on your side.....,calabao ntakunyoa mpaka hutoamini.....,c unamjua arsenal lakini???????
Hahaaa.. Mkuu hayo maneno tu. Hunitishii chochote. Huna ukali wowote wewe wa kuniogofya. Mi naweza nikaweka hata makinda watano ukashindwa kutoka na point hata moja
 
Screenshot_2018-01-03-23-46-30.png

Man of the man......,kaingia dakika ya 63,.....dakika ya 68 katikisA nyavu.......,dadeki mtaufyata2
 
Hahaaa.. Mkuu hayo maneno tu. Hunitishii chochote. Huna ukali wowote wewe wa kuniogofya. Mi naweza nikaweka hata makinda watano ukashindwa kutoka na point hata moja
C ungeweka sasa ulizuiwa.....,wilshere kafungua opener ya epl kwako..hhhhhhhh.....carabao c uje mbna unAchelewa.....?????
 
Kulikuwa na haja gan ya kumtoa hazard? Kwa nn c bakayoko? Aingie Willian au Pedro... Then fabregas aingie drinkwater. Conte anaznguaaa. Anaweza kutuambia anafanya rotation. Game ya stoke Fab na haz walpumzka
 
Mnapewa penalti nyepesi bado mnalalamika hamkujua kuwa mlistahili kunyolewa leo??????? Halafu Costa Costa nyie wanachelsea baada ya man u mnafuatia kwa unaaa

Nawaambia hachomoki mtu emirates kuanzia sasa.
Kazi ndo imeanza.....,tunawasubir kalabao.....ss ndo wakoloni wenu dadeki!!!!!

*Carabao
 
Hilo ndio tatizo la kununua kitu cha bei ndogo kwa bei kubwa
Lijamaa halijiamini kabisa hata mie nisingekosa Mara tatu na kipa
 
Matokeo ya hii match ilikuwa 2-1 au sare
Lawama hazisaidii chochote
Hapana hiyo mechi isingeisha draw kama asingemtoa Hazard. Nimeangalia dakika 15-20 za mwisho na sikuona sababu ya Kumtoa Hazard kabisa, tactical tena, labda angekuwa majeruhi.

Halafu unamuacha Morata ndani. Hii tabia inavunja wachezaji wengine morali. Sijajua labda kwenye mazoezi anafanya bora zaidi ama ni nini shida yake hasa.

Na Bakayoko wenu. Kwangu mimi hawa wangefaa msimu ujao ila msimu huu tungeendelea na tia maji tia maji yetu ya msimu uliopita halafu hao waingie kutokea benchi mpaka watakapozoea ligi na kuzoeana na wenzao.

Umeona ambavyo Rudiger na Christensen walivyofit vyema?
 
Asubuhi njema kwa hisani ya MBATATA
Oooooooooooopssssssss i meant Mborata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom