Glycel
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 415
- 191
Tena san makocha wabovu england ni wa man u na chelsea duuuuKocha wa Chelsea ni mjinga kama wa Manchester united
Tena san makocha wabovu england ni wa man u na chelsea duuuuKocha wa Chelsea ni mjinga kama wa Manchester united
Hata kama lkn ni lazima uwe na mtu wa uhakika.game plan hubadilika.
Harzad ata mie naungana na ww muache aondoke maaaan atazeeeka kwenye timu bovuNampenda sana hazard ila kama akiamua kuondoka sitajisikia vibaya. Otherwise conte abadilishe mbinu za kiuchezaji.
Mchezaji mkubwa kama Hazard unamfanyia sub katika big match wakati ushindi haujaupata ni bora asepe tuHarzad ata mie naungana na ww muache aondoke maaaan atazeeeka kwenye timu bovu
Tena asep january hii km vip anunue mkataba wake madrid au barc hat ishikwe vip hawafanywi sub. Nae coach km vip atimuliwe tu mbwaMchezaji mkubwa kama Hazard unamfanyia sub katika big match wakati ushindi haujaupata ni bora asepe tu
Anafanya vitu vikubwa sana ila wenzake wanamuangusha. Tazama ile back-heel pass aliyompa fabregas, angekuwa suarez pale tayari kipa lazima aokote mpira nyavuni.Harzad ata mie naungana na ww muache aondoke maaaan atazeeeka kwenye timu bovu
Tatzo anacheza na michezaji ya kizamni ya morhnyoAnafanya vitu vikubwa sana ila wenzake wanamuangusha. Tazama ile back-heel pass aliyompa fabregas, angekuwa suarez pale tayari kipa lazima aokote mpira nyavuni.
Kamtimua costa wetu angekuwepo tusingekuwa tunapata shida ya kufungaTena asep january hii km vip anunue mkataba wake madrid au barc hat ishikwe vip hawafanywi sub. Nae coach km vip atimuliwe tu mbwa
Conte ni kocha mzuri sana. Mistake hujitokeza, msiwe na mioyo miepesi namna hiyo. Kuna mechi zinakuja ngumu kuliko hii. Hebu jaribu kuwa na akiba ya maneno. Then jipe muda. Time is the best AnsTena asep january hii km vip anunue mkataba wake madrid au barc hat ishikwe vip hawafanywi sub. Nae coach km vip atimuliwe tu mbwa
Mkuuu southern anatuzingua dirisha limefunguliwa hata teyes za kusajir hakun cheki gem ya carabao anakufa na wenger nipo humuConte ni kocha mzuri sana. Mistake hujitokeza, msiwe na mioyo miepesi namna hiyo. Kuna mechi zinakuja ngumu kuliko hii. Hebu jaribu kuwa na akiba ya maneno. Then jipe muda. Time is the best Ans
Kashinda mechi moja tu ya mwaka jana premier league mechi ya marudiano.Nadhani katika makocha kadhaa waliopita chelsea, conte ameishindwa kabisa arsenal. Amewafunga mechi 1tu au 2 kama sijakosea. Inakera sana.
Najaribu kuelewa lengo la kumchezesha bakayoko, drinkwater na kante kwa pamoja.
Babeki uliongea huku unavuta ama...???Arsenal wana uzoefu wakufungwa mabao mengi
Leo sio chini ya 3 wakijitahidi sana ni 1
Kocha wa Chelsea ni mjinga kama wa Manchester united
mkuu acha uchokoziMkuu habar yako??????Conte ni kocha mzuri sana. Mistake hujitokeza, msiwe na mioyo miepesi namna hiyo. Kuna mechi zinakuja ngumu kuliko hii. Hebu jaribu kuwa na akiba ya maneno. Then jipe muda. Time is the best Ans