ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 808
Mkuu hata makosa ya Morata unayafumbia macho..??Matokeo ya hii match ilikuwa 2-1 au sare
Lawama hazisaidii chochote
Mkuu hata makosa ya Morata unayafumbia macho..??Matokeo ya hii match ilikuwa 2-1 au sare
Lawama hazisaidii chochote
Mambo ya bei wewe usiyalete hapa..unajua pia nyinyi mmetumia sh ngapi in recent years kwa ajili ya hao hao ma strikers , hakuna mtihani kama kupata striker mzuri na aka settle na timu ...he is not the worse ila i agree jana and in some matches amezingua sana.Morata ndiyo mlilipa bei gani yule striker wenu?Costa angekuwepo mecho kibao mlizo struggle angewafanya mshinde
Hv mechi umeangalia lakini..Wacha niungane na conte kuwa kinachoifanya chelsea kuwa hapo ni kukosa bahati tu
Ni kweli morata angeimaliza match mapema lakini kile kitu kukosa bahati kimetugarimu
Mi nilisemaga ktk post za nyuma hapo kuwa Conte kaisuka simu vizur sana ila tunachomisi ni wamaliziaji, yaan mastreka wa uhakika.Kwa kweli nilitaka kulia. Nilimkumbuka Didier Drogba na Diego Costa! Gemu ya jana tungemuua Aseno kwa ngumi yaani goli 5!
Tatizo mlitamba mno......subir kesho,..subir kesho...ss tukasema sawa......ikafika mwisho wa siku ka ulivyoona...mkapewa na tuta juu....Mkuu wote tulitambiana lazima kila mmoja ashinde. Tena mimi ndio inatakiwa nitambe kwa sababu nilikua ugenini.. Au kwako draw ndio ushindi mkubwa. Tuwekane sawa mkuu
Ila we kiazi sana. Jati ya sisi na nyie kina nani wana midomo sana.? Si yetu kazi nyie mpaka mnakuja huku kutaku kututambia. Lakini si wakimya kazi uwanjani.Tatizo mlitamba mno......subir kesho,..subir kesho...ss tukasema sawa......ikafika mwisho wa siku ka ulivyoona...mkapewa na tuta juu....
Naona kisingizio kimekuwa yule dogo wa Madrid.......
Nimejaribu kufuatilia post zenu kabla ya kombora la bellerin sijaona morata anapondwa kihivyo...nimeona Mara safi,cjui haters wamekuwaje.......
Ila mwisho wa siku kijana wa watu anabeba zigo lote......
Punguzeni unaaaaaa wana Chelsea......
Kwa kuongezea zengine hizi hapa mkuuMakipa wakimuona morata anaenda na mpira golini
![]()
![]()
![]()
![]()
Nafikiri jina halisi ni Ross BarkleyMorata anapaswa kufanyia kazi miguu yake maana data zinaonyesha hayuko vizuri miguuni. Pia anapaswa kujenga na kujengewa kujiamini. Anapaswa kujenga misuli yake ili kuimiri mikikimikiki ya mbele.
Mimi bado naona kuna potentials ndani ya Morata na naona tumempata kwa hela nzuri hasa ukiangalia soko la sasa. Bado ni kijana mdogo na anaweza kukaa nasi kwa muda mrefu. Tusisahau ndo mara ya kwanza anaanza kuongoza safu ya ushambuliaji na kuwa mchezaji tegemewa wa kikosi cha kwanza. Kwa huu ndo mwaka wake wa kwanza katika kikosi kwa kwanza cha timu yoyote. Dunia kwa sasa haina strikers na strikers bora waliopo hawawezi kuachiwa na timu zao hasa kwa kipindi hiki cha Januari na wakiachiwa hela ni ya moto. Bale, Harry Kane, Lewandosic, Suares, Icard na wanaofanana na hao huwezi kuwapata kirahisi. Nani alijua kama Azpilicueta ana potentials? Moses Je? Alonso naye? Hawa walinunuliwa kwa hela ya mboga tena wengine mpaka £7M ila waangalie kwa sasa wanaweza hata kusecure namba katika kikosi chochote bora duniani.
Tuwe wavumilivu wakuu mambo mazuri yanakuja Conte mnayemtukana leo katufanyia kazi kubwa sema tu tunakosa shukrani. Kila mara Chelsea ikichukua ubingwa inapoteana ila kwa sasa tumeanza round ya pili tukiwa point 1 nyuma ya mshindi wa pili. Tukipata striker wa kuleta ushindani kwa Morata, tukapata backup ya Alonso, na jana usiku Beckery alifanyiwa vipimo na nafikiri ni mahususi kwa ajili ya kusaidiana na Fabrigas tutakuwa balaa zaidi.
Yeah kuna makosa kwenye uandishi wa jinaNafikiri jina halisi ni Ross Barkley
Lakini mkuu mm nikiangakia kikosi cha Chelsea bado nakiona kama kikosi kitakacho fanya vizuri katika miaka 5 hii inayokuja.Nafikiri jina halisi ni Ross Barkley
Ampadu is 17 yrsLakini mkuu mm nikiangakia kikosi cha Chelsea bado nakiona kama kikosi kitakacho fanya vizuri katika miaka 5 hii inayokuja.
Hivi angalia miaka yao:
1. Courtois 25
2. Rudigar- 24
3. Christensen- 21
4. Azpilicueta- 28
5. Moses - 27
6. Bakayoko- 23
7. Kante- 26
8. Drinkwater- 27
9. Ross Barkley- 24
10. Alonso- 27
11. Hazard-26
12. Morata- 25
13. Kennedy -21
14. Musonda- 21
15. Ampadu- ?
Hahaha Lampard???![]()
Anaweza akaja akawa Lampard mpya huyu
Huko ni kujenga au kubomoa?Morata anatakiwa atolewe kwa mkopo au apigwe benchi akose wcup