Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duh sasa tunanunua kikosi kizima chq Leicester!!! Na je, tunamhitaji huyu kiasi hicho ama ndo kuja kuchukua nafasi ya Fab?

Kuchukua nafasi ya Fab hapana kwa kweli. Ndio tunahitaji mrithi wa Fab lakini nadhani anatakiwa ambaye sio winga na mwenye uzo angalau kama Fabregas. Yaani hatamani kufunga ila pale inapobidi, kazi yake iwe ni kupitisha pasi kwa namba 10 au 9 (kutengeneza link kati ya Viungo wakabaji na washambuliaji). Sasa naona Maharez ni pure wing player.

Nadhani (kwa muangalio wangu) kama Chelsea wanamtaka kweli Maharez basi watakuwa wanataka pure left footed winger
 
Chelsea imecheza mechi nyingi zaidi vs Arsenal kuliko timu nyingine yoyote katika Premier League; mchezo wa usiku wa leo utakuwa mchezo namba 193, na endapo The Blues watapata japo goli moja basi watatimiza magoli 100 vs Arsenal kwenye ligi pekee, kiujumla Chelsea wamefunga magoli 267, na Arsenal wamefunga magoli 250.
Mchezo wa kwanza kabisa baina ya timu hizi ulipigwa mnamo 9 November 1907, ambapo Chelsea walishinda 2-1.
:
Takwimu za head to head zinatuonyesha kwenye mechi 192 - Chelsea wameshinda mechi 62, Arsenal kashinda 74 na sare 56.
:
Didier Drogba ndio mchezaji ambaye amefunga magoli mengi zaidi katika mtanange wa wawili hawa - amefunga magoli 13.
:
Mchezo ambao ulitoa ushindi mkubwa ulipigwa mnamo 22 March 2014, Chelsea chini ya Jose Mourinho ikamtandika Arsenal 6-0.
 
Chelsea imecheza mechi nyingi zaidi vs Arsenal kuliko timu nyingine yoyote katika Premier League; mchezo wa usiku wa leo utakuwa mchezo namba 193, na endapo The Blues watapata japo goli moja basi watatimiza magoli 100 vs Arsenal kwenye ligi pekee, kiujumla Chelsea wamefunga magoli 267, na Arsenal wamefunga magoli 250.
Mchezo wa kwanza kabisa baina ya timu hizi ulipigwa mnamo 9 November 1907, ambapo Chelsea walishinda 2-1.
:
Takwimu za head to head zinatuonyesha kwenye mechi 192 - Chelsea wameshinda mechi 62, Arsenal kashinda 74 na sare 56.
:
Didier Drogba ndio mchezaji ambaye amefunga magoli mengi zaidi katika mtanange wa wawili hawa - amefunga magoli 13.
:
Mchezo ambao ulitoa ushindi mkubwa ulipigwa mnamo 22 March 2014, Chelsea chini ya Jose Mourinho ikamtandika Arsenal 6-0.
Umekuwa Numbisa siku hizi.....????
 
MATUMAINI ya Chelsea kuinasa saini ya Giorgio Chiellini, yamefutika baada ya beki huyo mkongwe kupanga kuongeza mkataba mwingine na klabu yake ya Juventus.

Chiellini ni miongoni mwa nyota wanaowindwa vikali na kocha wa Chelsea, Antonio Conte, akiamini uzoefu wake utamsaidia kubeba taji kubwa la Ulaya msimu huu.
 
MATUMAINI ya Chelsea kuinasa saini ya Giorgio Chiellini, yamefutika baada ya beki huyo mkongwe kupanga kuongeza mkataba mwingine na klabu yake ya Juventus.

Chiellini ni miongoni mwa nyota wanaowindwa vikali na kocha wa Chelsea, Antonio Conte, akiamini uzoefu wake utamsaidia kubeba taji kubwa la Ulaya msimu huu.
Hata Chelsea kupitia kwa kocha wetu Conte walisema hawahitaji kumsajili Chiellin. Nadra sana kwa Chelsea ya sasa kusajili mchezaji aliyezidi miaka 30 au inakaribia ndio maana hata waliopo waliozidi 30 hupewa mkataba wa mwaka mmoja mmoja kwanza
 
Arsenal wana uzoefu wakufungwa mabao mengi
Leo sio chini ya 3 wakijitahidi sana ni 1
 
MATUMAINI ya Chelsea kuinasa saini ya Giorgio Chiellini, yamefutika baada ya beki huyo mkongwe kupanga kuongeza mkataba mwingine na klabu yake ya Juventus.

Chiellini ni miongoni mwa nyota wanaowindwa vikali na kocha wa Chelsea, Antonio Conte, akiamini uzoefu wake utamsaidia kubeba taji kubwa la Ulaya msimu huu.
Babu yule wa nn cye
 
612ebe6b564590865dbd381cfafef7aa.jpg

3-5-2 imerudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom