Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

naomba kujulishwa jinsi ya kuangalia mpira live kupitia simu/internet....
 
Hawa wakitoka itapendeza zaidi
Bakayoko
Moses na
Fabriga ni mzuri ila pumzi inamuisha mapema
Waingie
Willian
Pedro na
Batshuayi
 
Hawa wakitoka itapendeza zaidi
Bakayoko
Moses na
Fabriga ni mzuri ila pumzi inamuisha mapema
Waingie
Willian
Pedro na
Batshuayi

Wakutoka Moses na Bakayoko, Waingie Drinkwater na Zappacosta
 
Game inaenda vizuri, ila Morata kakosa goli moja sijui alitaka apewe nini pale.

Half Time
Chelsea 0 - 0 Arsenal
 
Duh niko mbali na luninga najitahidi kuwahi walau robo saa ya mwisho nitaiona...

All the best Chelsea.
 
Nampenda sana hazard ila kama akiamua kuondoka sitajisikia vibaya. Otherwise conte abadilishe mbinu za kiuchezaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom