Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Unajua Mimi huwa sina mazoea ya kumshambulia MTU hasa anapotoa maoni yake ya kimichezo, LKN kuna members HUMU kama huyu mentor, nafikiri yeye Chelsea ni akina drogba na lampard, mimi nilishakuwa naapenzi na timu miaka mingi nyuma huko miaka ya 90. Mimi ninaifamu Chelsea vizuri kuliko wewe mentor, nitafute nitakusaidia zaidi
 
Wakuu Chelsea ya Conte iko vizur sana na hata, ukichek mpra unaufurahia kwa kuposses mipira vyema pamoja na kushambulia bila kuruhusu kufungwa hovyo..
Changamoto moja ambayo Conte anatakiwa kuisolve sasa n kutafuta maforwad wa ukwel ambao kaz yao itakuwa kudumbukiza mipra tu.. Maana ukichek mpra utaona tunasjambulia goli pinzan ila hatuna wamaliziaji
 
Wakuu Chelsea ya Conte iko vizur sana na hata, ukichek mpra unaufurahia kwa kuposses mipira vyema pamoja na kushambulia bila kuruhusu kufungwa hovyo..
Changamoto moja ambayo Conte anatakiwa kuisolve sasa n kutafuta maforwad wa ukwel ambao kaz yao itakuwa kudumbukiza mipra tu.. Maana ukichek mpra utaona tunasjambulia goli pinzan ila hatuna wamaliziaji
Tatizo Chelsea always kuna Head Coach ambae ndio Conte kwa sasa hakuna Team Manager.Tofauti ya Head Coach na Manager ni kwamba Manager anakuwa na authority kubwa zaidi katika timu.Katika suala la usajili Conte anaweza kupendekeza wachezaji anaowataka lakini sio mara zote Club itakubaliana nae sometimes anaweza kumtaka huyu akaletewa yule kwasababu yeye hana authority kubwa katika swala hilo ndio maana wachezaji wengi ambao anawataka huwa hawapati au anachelewa kuwapata.Kuna mama mmoja anaitwa Marina Granovskaia na Michael Emenalo kabla hajaondoka hawa ndo wana deal na biashara zote za timu zinazohusu mikataba kwahiyo ukipendekeza mchezaji wasipompitisha wao hatokuja ng'o.
Conte alipendekeza majina ya washambuliaji anaowataka majira ya joto lakini matokeo yake walimletea Morata tu.
 
Kesho tuna chance ya kuwa sawa na Man utd kwa point.

Kwa kweli tunatakiwa kuwa tunamfukuzia Man city TU kwa sasa.

Nilikasirika sana mechi iliyopita wachezaji wanacheza kama hawakuangalia league standing. Nilidhani hiyo ingewapa motisha kucheza zaidi na kutafuta ushindi ila walicheza kama vile sisi ndo tulikuwa namba moja kwenye msimamo.

Natumai kuona mabadiliko kesho....

Heri ya krismasi wakuu!
 
Kesho tuna chance ya kuwa sawa na Man utd kwa point.

Kwa kweli tunatakiwa kuwa tunamfukuzia Man city TU kwa sasa.

Nilikasirika sana mechi iliyopita wachezaji wanacheza kama hawakuangalia league standing. Nilidhani hiyo ingewapa motisha kucheza zaidi na kutafuta ushindi ila walicheza kama vile sisi ndo tulikuwa namba moja kwenye msimamo.

Natumai kuona mabadiliko kesho....

Heri ya krismasi wakuu!
Mkuu Naona hata siku mnayocheza hauijui ni leo angalia vizuri au sikukuu imekuchanganya nn...??
 
Kesho tuna chance ya kuwa sawa na Man utd kwa point.

Kwa kweli tunatakiwa kuwa tunamfukuzia Man city TU kwa sasa.

Nilikasirika sana mechi iliyopita wachezaji wanacheza kama hawakuangalia league standing. Nilidhani hiyo ingewapa motisha kucheza zaidi na kutafuta ushindi ila walicheza kama vile sisi ndo tulikuwa namba moja kwenye msimamo.

Natumai kuona mabadiliko kesho....

Heri ya krismasi wakuu!
Tunacheza leo mkuu sio kesho halafu sijakuelewa swala la kumfukuzia Man City yani unamaana tufukuzie ubingwa wa EPL? huwezi kuwa serious hata Conte alisha admit game mbili nyuma kuwa we are not in the title race.Hizo nguvu zakumfukuzia City ni bora tuzihifadhi kwa ajili ya mashindano ambayo bado tuna nafasi kubwa UEFA,FA na Carabao Cup.Huku EPL tujitahudi kushika nafasi ya pili tu
 
Swali zuri sana la kimpira anatakiwa aje na maajibu ya kimpira tena ya kuipenda chelsea cyo kiushabiki ngoja tsubili @ khalifan
Am not totally against Morata. Ila kwa sasa anahitaji ushindani na kwa kuwa Batshuayi ameshindwa kutoa hiyo changamoto ni vyema tukawatumia hawa washambuliaji wetu watatu vyema na Morata wakati anaendelea kuzoea ligi na kutafuta stamina atokee benchi wakati mabeki wameshachoka.

Akiwa fit msimu ujao wala sioni haja ya kuongeza striker. Tunahitaji tu kuboresha midfield yetu maana Fabregas muda umemtupa mkono. Mtu tunayemhitaji kucheza na Kante ni mix ya Matic na Fabregas yaani anajua defence na ni mzuri wa kushambulia.

Na huu ni mtazamo wangu.
 
Mkuu Naona hata siku mnayocheza hauijui ni leo angalia vizuri au sikukuu imekuchanganya nn...??
Huku Hawaii sasa ni saa tatu usiku tarehe 25 Desemba, samahanini.

Tunacheza leo mkuu sio kesho halafu sijakuelewa swala la kumfukuzia Man City yani unamaana tufukuzie ubingwa wa EPL? huwezi kuwa serious hata Conte alisha admit game mbili nyuma kuwa we are not in the title race.Hizo nguvu zakumfukuzia City ni bora tuzihifadhi kwa ajili ya mashindano ambayo bado tuna nafasi kubwa UEFA,FA na Carabao Cup.Huku EPL tujitahudi kushika nafasi ya pili tu
Kumfukuzia namaanisha kumaliza namba mbili walau. Kwa kweli pamoja na kwamba sipendi, lakini nakubalia Man city kutoka hapo alipo kutahitaji muujiza. Ila pia kumaliza namba tatu nyuma ya mnyonge Mourinho ni aibuuu...
 
Willian, Hazard, Pedro.
Unajua kwamba ukianza hivyo unakosa quality ya no 9? refer game ya City alipotoka Morata akaingia Willian kilichotokea mabeki wa kati wa City wakapata likizo ya muda uwanjani.Hio formation ya kuanza hivyo ina work tunapocheza na timu ambazo ni under dogs lakini huwezi kucheza msimu mzima hivyo it won't work out.
 
Huku Hawaii sasa ni saa tatu usiku tarehe 25 Desemba, samahanini.


Kumfukuzia namaanisha kumaliza namba mbili walau. Kwa kweli pamoja na kwamba sipendi, lakini nakubalia Man city kutoka hapo alipo kutahitaji muujiza. Ila pia kumaliza namba tatu nyuma ya mnyonge Mourinho ni aibuuu...
Haya bhana nilijua utajitetea tu kumbe mwenzetu upo majimoto
 
Unajua kwamba ukianza hivyo unakosa quality ya no 9? refer game ya City alipotoka Morata akaingia Willian kilichotokea mabeki wa kati wa City wakapata likizo ya muda uwanjani.Hio formation ya kuanza hivyo ina work tunapocheza na timu ambazo ni under dogs lakini huwezi kucheza msimu mzima hivyo it won't work out.
Shida ilikuwa kwa midfield brother...kaangalie tena replays.

Halafu pia ndiyo maana nimependekeza Morata - kwa msimu huu tu lakini - atokee benchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom