Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Hakukuwa na shida kwenye midfield katika ile game labda tunatofautiana katika kuusoma mchezo.Shida ilikuwa kwa midfield brother...kaangalie tena replays.
Halafu pia ndiyo maana nimependekeza Morata - kwa msimu huu tu lakini - atokee benchi.
Back to the point,Morata atokee bench 19 games zilizobaki hivi mkuu are you serious na unachozungumza kweli?
Kweli Chelsea itamaliza nafasi ya 2/3 kwa kuanza na Willian Hazard Pedro?
Nadhani hutaki kumuona Conte akiwa Chelsea msimu ujao