Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Am not totally against Morata. Ila kwa sasa anahitaji ushindani na kwa kuwa Batshuayi ameshindwa kutoa hiyo changamoto ni vyema tukawatumia hawa washambuliaji wetu watatu vyema na Morata wakati anaendelea kuzoea ligi na kutafuta stamina atokee benchi wakati mabeki wameshachoka.

Akiwa fit msimu ujao wala sioni haja ya kuongeza striker. Tunahitaji tu kuboresha midfield yetu maana Fabregas muda umemtupa mkono. Mtu tunayemhitaji kucheza na Kante ni mix ya Matic na Fabregas yaani anajua defence na ni mzuri wa kushambulia.

Na huu ni mtazamo wangu.
Mkuu kwangu mimi nimemuona Bakayoko kama usajili mzuri hata kama hajafanya sawa na mategemeo yetu mashabiki. Ila nakuhakikishia msimu ujao kila mtu atamkubali japo tunapungukiwa midfield mmoja, Alonso anahitaji msaidizi ili apate mtu wa kumsaidia, central midfield. Ampandu ajengewe uwezo maana yeye na Christensen wanatosha pale kati.
 
Mpira anao cheza Hazard Sio uchezaji wake ule kabisa. Yaani ana fika ndani ya 18 analemba mpira aisee huu uchezaji wake ndio nauona msimu huu. Nilikaa kimya kinajua atabadilika lakin bado ni vile vile.

Na tangu lin Hazard anakuwa maeneo yale anapiga Kros
 
Screenshot_2017-12-26-20-53-12-1.png
France Football Magazine's French player of the year 2017
 
Timu yetu kiukweli inacheza kandanda safi sana hivi sasa
Conte akishuhulikia mipango kule mbele namna ya kuwatoka wapaki mabasi tutatisha sana
Kwa sasa kupiga pasi na kuumiliki mpira sio kitu tena kwa chelsea hii ya conte
Alafu kuna watu wanasema Conte aondoke ili aje mzee yule aliyetimuliwa Real na Bayern kwa sababu ya kushindwa kuleta matokeo tegemewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom