Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tetesi
Chelsea huenda wakagonga mwamba kumsajili winga wa Bayer Leverkusen Leon Bailey, 20, mwezi ujao lakini bado wanamtaka kiungo wa kati wa Everton Ross Barkley, 24, na mshambuliaji wa Monaco Thomas Lemar, 22. (London Evening Standard)
 
Tetesi
Chelsea wana mpango wa kumfanya Thibaut Courtois kuwa mlinda mlango anayelipwa zaidi duniani kwa kumpa Paundi 200,000 kwa wiki, kwa sasa mazungumzo yanaendelea na Courtois raia wa Ubelgiji mwenye miaka 25.(Telegraph)
 
09e662c4d644a887688ee0b248679d4c.jpg
 
Nilishasema kucheza bila mshambuliaji ni kutukosesha mabao tu
Match ya leo nimemmiss morata kwa kweli
 
Wakuu vipi hamna mazungumzo baada ya mechi? Nimeangalia game haikuwa siku yenu Everton wamelinda sana, hawana hata a single shot on target
 
Matokeo please.....! Nipo kijijini saana huku.

Na uchambuzi wa match pia.
 
Wakuu vipi hamna mazungumzo baada ya mechi? Nimeangalia game haikuwa siku yenu Everton wamelinda sana, hawana hata a single shot on target
Hii match imemkosa morata prondo
Mipango mbele kule kulikuwa hamna kabisa ukiachana na kulinda kwa everton
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom