Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

SASA kama tunamiliki mipira mbona hatushindi, tunashindwa kufunga timu ndogo. Chelsea ni timu kubwa, tulichukua UEFA ndogo mwaka 1997, SASA kwa mpira huu, tutakufa nyingi MNO KWA Barcelona KBS
Unajua kama Everton ana makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea? Hiyo isiwe excuse lakini ukweli ni kwamba Everton imeimalika. Lakini tatizo kubwa la Chelsea ni umaliziaji. Na hapa anahitajika mtu wa kumpa ushindani Morata lkn pia kusaidia pale Morata anapokosekana uwanjani
 
Unajua kama Everton ana makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea? Hiyo isiwe excuse lakini ukweli ni kwamba Everton imeimalika. Lakini tatizo kubwa la Chelsea ni umaliziaji. Na hapa anahitajika mtu wa kumpa ushindani Morata lkn pia kusaidia pale Morata anapokosekana uwanjani
Everton ina makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea tangu lini? unajua EPL imeanzishwa mwaka gani? kwa kukusaidia EPL imeanza February 20,1992 na Everton ni miongoni mwa klabu ambazo hazijawahi kushinda EPL pamoja na ndugu zao wa Merseyside,Liverpool.
NB:ACHA KUONGOPEA WATU/KUZUNGUMZA USIYOYAJUA/KUWA NA UHAKIKA NAYO.
 
Everton ina makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea tangu lini? unajua EPL imeanzishwa mwaka gani? kwa kukusaidia EPL imeanza February 20,1992 na Everton ni miongoni mwa klabu ambazo hazijawahi kushinda EPL pamoja na ndugu zao wa Merseyside,Liverpool.
NB:ACHA KUONGOPEA WATU/KUZUNGUMZA USIYOYAJUA/KUWA NA UHAKIKA NAYO.
Basi kama tunaaza kuesabia hapo man hatakuwa ajafikisha Mara 20
 
Basi kama tunaaza kuesabia hapo man hatakuwa ajafikisha Mara 20
Swadakta kabisa wanaposema Man Utd ana mataji 20 ni kuanzia ile First Division League iliyoanza 1885 au 1888 hadi sasa.Liverpool makombe yake 18 yote ni ya First Divison ndio maana tunasema Liverpool hajawahi kuchukua EPL.Mwaka 1992 February 20 Ligi ikabadilika na kuwa FA Premier League kwanzia mwaka huo Man Utd kachukua mara 13,Chelsea mara 5,Arsenal mara 3,Man City mara 2,Blackburn Rovers mara 1 na Leicester City mara 1.
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Everton ina makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea tangu lini? unajua EPL imeanzishwa mwaka gani? kwa kukusaidia EPL imeanza February 20,1992 na Everton ni miongoni mwa klabu ambazo hazijawahi kushinda EPL pamoja na ndugu zao wa Merseyside,Liverpool.
NB:ACHA KUONGOPEA WATU/KUZUNGUMZA USIYOYAJUA/KUWA NA UHAKIKA NAYO.
Ulitaka niseme EFL/EPL? Maana tangu mwaka 1888 ligi ya Uingereza ilikuwepo na ndo ligi kongwe zaidi. Kilichofanyika 1992 timu 70 zilizokuwa zinashiriki EFL ziligawanywa. 22 zikabaki EPL na nyingine chini. So sijaona haja ya povu lote hilo
Everton ina makombe mengi ya EPL kuliko Chelsea tangu lini? unajua EPL imeanzishwa mwaka gani? kwa kukusaidia EPL imeanza February 20,1992 na Everton ni miongoni mwa klabu ambazo hazijawahi kushinda EPL pamoja na ndugu zao wa Merseyside,Liverpool.
NB:ACHA KUONGOPEA WATU/KUZUNGUMZA USIYOYAJUA/KUWA NA UHAKIKA NAYO.
 
Swadakta kabisa wanaposema Man Utd ana mataji 20 ni kuanzia ile First Division League iliyoanza 1885 au 1888 hadi sasa.Liverpool makombe yake 18 yote ni ya First Divison ndio maana tunasema Liverpool hajawahi kuchukua EPL.Mwaka 1992 February 20 Ligi ikabadilika na kuwa FA Premier League kwanzia mwaka huo Man Utd kachukua mara 13,Chelsea mara 5,Arsenal mara 3,Man City mara 2,Blackburn Rovers mara 1 na Leicester City mara 1.
Siku nyingine ukisikia premium jua INA maanisha kitu chenye hadhi ya juu. So ukisikia English premier league maana yake ni ligi kuu ya Uingereza na ligi kuu imekuwepo kabla hata ya 1992 tofauti majina, idadi ya timu, wadhamini na mambo ya kawaida but that was premier by then.
 
Screenshot_2017-12-24-08-42-08-1.png
Screenshot_2017-12-24-08-42-17-1.png
Siku nyingine ukisikia premium jua INA maanisha kitu chenye hadhi ya juu. So ukisikia English premier league maana yake ni ligi kuu ya Uingereza na ligi kuu imekuwepo kabla hata ya 1992 tofauti majina, idadi ya timu, wadhamini na mambo ya kawaida but that was premier by then.
.
A picture saves a thousand words
 
Tetesi
Arsenal wamepiga hatua mbele ya Manchester United na Chelsea katika mbio za kumpata wing'a wa Bayer Leverkusen Leon Bailey 29. (Mirror)
 
SASA kama tunamiliki mipira mbona hatushindi, tunashindwa kufunga timu ndogo. Chelsea ni timu kubwa, tulichukua UEFA ndogo mwaka 1997, SASA kwa mpira huu, tutakufa nyingi MNO KWA Barcelona KBS
Mamluki sijui umetokea wapi wewe
 
Niaje fanz. vip maendeleo ya timu mnayaonaje,

Kuna dalili ya kubeba kikombe chochote kweli!
 
Mimi ninaifamu Chelsea tangu mwaka 2007 tulipochukua UEFA NDOGO, GUAFRANCO ZOLA alipiga goli la ushindi dk. 75, alikuwa supersub, tukachukua ndoo ya ulaya.
Chelsea hatuna kocha, arudi ancelote TU, tunadraw na Everton, tunafungwa na moyes, tulifungwa na Burnley, HAMNA KOCHA, NI AIBU KWA UONGOZI WA CHELSEA


hilo goli la zola lina uhusiano gani na kocha? na wewe unaujua mpira? chelsea kapoteza mechi ngap toka aje conte? ligi ya uingereza ni ngumu sana ndugu hasa kutetea ubingwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom