Yuko vizuri kwa kweliHuyu Willian sio wa
kuanza bench kabisa
kipa wao leo ndo nyota wa mchezoFabrigas angefunga bao tamu sana kama ule mpira ungeingia wavuni
Morata pia kidogo atufungie bao alipoingia
Kipa wa southampton amepangua sana leo za morata na fabi
We nae kilaza kweli asee, ndio kusema hujaona Attempts katika lango lao zilikuwa ngapi... Eti bahatiNyie mashikoro mmewaona soton
Mnabahati mlikuwa home



Asee mwishoni ckujua Chelsea ni ipi na Southampton ni ipiWe nae kilaza kweli asee, ndio kusema hujaona Attempts katika lango lao zilikuwa ngapi... Eti bahati![]()
KivipiAsee mwishoni ckujua Chelsea ni ipi na Southampton ni ipi
Inawezeakana wewe ukawa miongoni mwa wale wanaovua miwani kusikiliza vizuri mtu alichoongeaAsee mwishoni ckujua Chelsea ni ipi na Southampton ni ipi



Kuna wakati mlikoswakoswa sanaKivipi
Moja kati ya wachezaji waliocheza vizuri leo ni Bakayoko mkuu kwa vipindi vyote.kikosi cha leo Bakayoko tu ndo sikumfurahia.
Hata hivyo nimekuta mechi dakika 52....
kukoswa koswa na kukosa kosa ni sehemu ya mchezoKuna wakati mlikoswakoswa sana
Moja kati ya wachezaji waliocheza vizuri leo ni Bakayoko mkuu kwa vipindi vyote.
Mkuu ulikuwa ukimfatilia Bakayoko alipokuwa Monaco?Bakayoko akiwepo kikosi kama hakina balance hivi. Kuna umuhimu wa kutafuta midfield mwingine. Sioni tofauti yake na Loftus Cheek bado.
Anyway, huu ni mtazamo wangu binafsi kabisa hauhusiani na uhalisia wa uwezo wake!!!
Ni kama mimi nilivyo sijawahi kumkubali cahill hata siku mojaBakayoko akiwepo kikosi kama hakina balance hivi. Kuna umuhimu wa kutafuta midfield mwingine. Sioni tofauti yake na Loftus Cheek bado.
Anyway, huu ni mtazamo wangu binafsi kabisa hauhusiani na uhalisia wa uwezo wake!!!
Lakini ameshindwa kuthibitisha hilo toka ajiunge na blues. Labda Mimi ndio nilitarajia kikubwa zaidi ya anachokifanya sahivi ndio maana namchukulia kawaidaBakayoko ni mchezaji bora sana