Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

GOMEZ man of the match..... a point is enough though.....s'thing is better than Nothing.....karibuni kwenye thread ya Gunners kesho....would love to read from u GUYS......
 
Haya mmepoteza nafasi ya kurudi kwenye kilele cha EPL, msikose kutushangalia kesho tukiwafanya vibaya SAF na MANU.
 
safi sana gomesss, naona drogba leo hakushangilia goli kuna ujumbe katuma.

Hisia zako tu, tumezoea hizi sentence kutoka kwao. Ulisema last week kwamba kuna kitu kitatokea Chelsea in two days, mbona hatujaona kitu?!
 
GOMEZ man of the match..... a point is enough though.....s'thing is better than Nothing.....karibuni kwenye thread ya Gunners kesho....would love to read from u GUYS......

Haya mmepoteza nafasi ya kurudi kwenye kilele cha EPL, msikose kutushangalia kesho tukiwafanya vibaya SAF na MANU.

That's two points thrown into the bin, sijui kwanini Drogba hakumwachia Lamps ile pen?!! Anyway, performance-wise leo tumefanya vizuri kupita mechi zetu kama sita zilizopita na ni dalili nzuri kwa mechi 2 zijazo kwamba tutashinda, uzuri mechi zote zitakuwa "viwanja vya nyumbani", come on you Blues!
Kwa kesho sioni kitu zaidi ya draw.

KTBFFH
 
Matanga bila ya wasi wasi yanaisha leo; yatahamia rasmi kwenu kuanzia kesho


Ndoto ya mwendawazimu!

Khe khe khe na leo hapa marufuku wasiingie kabisa .... ...labda kesho watoe draw ..... Mwezi mzima sasa umepita wanachungulia tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeee Jamani eheeeeeeeeee Matanga mnamaliza lini?



Invisible if you can convey my condolences to Mungiki Brother, I presume he might have moved from Kibera to an unknown location fearing the worse. A month without his sight in the house of mafioso is not normal. Also without forgetting the Peasants who surround the broken bridge and the reverands (Masanilo & Kishoka) who've surrounded the bridge with homily players.


Please let Abraham O Vich not miss his timely appointment to deliver the inevitable (mpunga radhina) otherwise the matanga will not end as planned and cause dire consequencies to the Roman empire.


Du! Aliwahi kwenye appointment na kutoa mpunga, lakini Gomez kaficha khe kheeeeeeeeeeeee niliwaambia mkijitahidi mtatoa sare ....... Endeleeni kuchungulia tu chacha pamoja na uhodari wa kuja kushangilia Chelsick kwishnei ...... ..


Khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Hisia zako tu, tumezoea hizi sentence kutoka kwao. Ulisema last kwamba kuna kitu kitatokea Chelsea in two days, mbona hatujaona kitu?!

Kweli mkuu kauli hile ilinitoka kutokana na matokeo yenu mabovu kwangu haikuwa kawaida, nikajua kuna kitu kinaendelea ndani ya Chelsea ambacho nilitegemea tutasikia tu katika siku mbili zile nilizo taja.Kumbe wala hakuna kitu chochote kinachoendelea zaidi ya KUFULIAAAAAAA.


Ujumbe wa Drogba kuto shangilia goli ni kwamba hakufurahishwa na kupigwa bench.Anyway mkuu hongera kwa kupata point moja.
 
Ndoto ya mwendawazimu!




Du! Aliwahi kwenye appointment na kutoa mpunga, lakini Gomez kaficha khe kheeeeeeeeeeeee niliwaambia mkijitahidi mtatoa sare ....... Endeleeni kuchungulia tu chacha pamoja na uhodari wa kuja kushangilia Chelsick kwishnei ...... ..


Khe khe kheeeeeeeeeeeee

Fat Arse WUM
 
Hahahahahaha wapenzi wa Drogba (Rev Masa & Peasant, Invisible & Co) I mean Chelsea LOL! hongereni labda mnaweza kuambulia 3 points leo lakini kijasho chembamba kimewatoka hadi kusawazisha

We ulijichimbia bongo nini? Wapo kwenye msiba hao wana mwezi chacha ..... kesho tunawabangua Manure pale kwao wala isikupe shida nitakuwa na Ngongo nimemkaribisha aje aone kitale khe khe kheeeeeeeeee
 
Kweli mkuu kauli hile ilinitoka kutokana na matokeo yenu mabovu kwangu haikuwa kawaida, nikajua kuna kitu kinaendelea ndani ya Chelsea ambacho nilitegemea tutasikia tu katika siku mbili zile nilizo taja.Kumbe wala hakuna kitu chochote kinachoendelea zaidi ya KUFULIAAAAAAA.


Ujumbe wa Drogba kuto shangilia goli ni kwamba hakufurahishwa na kupigwa bench.Anyway mkuu hongera kwa kupata point moja.

Hakuna mchezaji anayeweza kuwa na furaha akiwekwa bench kwenye big match kama hii, kwa hiyo kutoshangilia is not a big deal. Yeah, asante kwa point, japo tumetupa 2 kwenye bin....lakini naona timu imeanza kujituma, kwa hiyo nategemea ushindi kwa mechi zetu mbili kubwa zinazofuata ukizingatia tutakuwa na home advantage kwa mechi zote.
 
Hakuna mchezaji anayeweza kuwa na furaha akiwekwa bench kwenye big match kama hii, kwa hiyo kutoshangilia is not a big deal. Yeah, asante kwa point, japo tumetupa 2 kwenye bin....lakini naona timu imeanza kujituma, kwa hiyo nategemea ushindi kwa mechi zetu mbili kubwa zinazofuata ukizingatia tutakuwa na home advantage kwa mechi zote.

sawa sawa hata siku na sunderland mlikuwa na home advantage iliwasaidia sana.
 
Nimeshakaribia Mkuu AW, ahsante sana. Kesho tunawachapa wale MANU 2-1 msikose jamvini kufuatilia mechi yote.


Karibu tena mkuu! Lakini umeshatia nuksi, maana haujawahi kutabiri correct tangu nikuone ukifanya hizo tabiri zako. I can see the reverse of it tomorrow.
 
Game over, 1-1. Now we're welcome some Arse WUMs to post on here


doctor_holiday_sm.jpg


...mgonjwa haulizwi Uji?

Matanga bila ya wasi wasi yanaisha leo; yatahamia rasmi kwenu kuanzia kesho

...AljuniorTz, umepotea sana kaka,
Anyway, rukhsa kuwaazima majamvi ilhali nanyi m' matangani?
 
Karibu tena mkuu! Lakini umeshatia nuksi, maana haujawahi kutabiri correct tangu nikuone ukifanya hizo tabiri zako. I can see the reverse of it tomorrow.


Ahsante sana Mkuu! hahahahahah Hutaki kunipa credit tu mkuu, nimekuwa 100% accurate katika "baadhi" ya utabiri wangu kuhusu mechi zetu ukifuatilia hapa jukwaani utaona hivyo. Hata yule Sheikh Yahaya wa Hussein huwa anaboronga mara nyingi tu, I hope kuhusiana na utabiri wangu haitakuwa hivyo kesho vinginevyo nitaingia mitini LOL!
 
Si unajua kwamba Emirates Library is our "home", na wenye uwanja wanachachawa wakiwa pale?

Bora wa nirudishie kiwanja cha "henry" highbury lol.Washabiki wanao tuwakilisha emirates nao pia wanatuangusha hawajuhi kushangilia mpaka dakika ya mwisho.

I hope wachezaji wenu wataendelea na malaria walioletewa na Drogba.
 
Harry Redknapp said:
... This time on Chelsea's goal:
Harry Redknapp said:
"I've watched it again, and it was hand-ball by Didier Drogba in the build-up, but he hit that with real power. Heurelho Gomes would probably save it normally but he made up for it with the penalty."


Pamoja na kubebwa na Mike Dean bado hawabebeki khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom