Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
![]()
...mgonjwa haulizwi Uji?
...AljuniorTz, umepotea sana kaka,
Anyway, rukhsa kuwaazima majamvi ilhali nanyi m' matangani?
You're slowly losing your brain cells.....lol
![]()
...mgonjwa haulizwi Uji?
...AljuniorTz, umepotea sana kaka,
Anyway, rukhsa kuwaazima majamvi ilhali nanyi m' matangani?
Bora wa nirudishie kiwanja cha "henry" highbury lol.Washabiki wanao tuwakilisha emirates nao pia wanatuangusha hawajuhi kushangilia mpaka dakika ya mwisho.
I hope wachezaji wenu wataendelea na malaria walioletewa na Drogba.
![]()
...mgonjwa haulizwi Uji?
...AljuniorTz, umepotea sana kaka,
Anyway, rukhsa kuwaazima majamvi ilhali nanyi m' matangani?
Ahsante sana Mkuu! hahahahahah Hutaki kunipa credit tu mkuu, nimekuwa 100% accurate katika "baadhi" ya utabiri wangu kuhusu mechi zetu ukifuatilia hapa jukwaani utaona hivyo. Hata yule Sheikh Yahaya wa Hussein huwa anaboronga mara nyingi tu, I hope kuhusiana na utabiri wangu haitakuwa hivyo kesho vinginevyo nitaingia mitini LOL!
Ndio maana ulikimbia hapa kwa muda mrefu, umesubiri mpaka mnaongoza ligi ndio unakuja sio? Unfortunately, hapo juu mwisho wenu kesho, au 27 Dec....lol
...ha ha ha!, ukisoma hii habari, waweza jua nani ana lose Brain Cells haraka zaidi yangu.
...Mourinho, Avram Grant, Scolari, Ray Wilkins,... Next?
Hahahahahah haya bwana Kaka we bania tu hizo credit ambazo nastahili toka kwako. Najua bado umenuna kwa matokeo ya leo ya kushindwa kurudi kileleni.
Hapana sijanuna, nimefurahi sana maana perfomance yetu ilikuwa nzuri sana leo ukilinganisha na mechi kama 8 zilizopita, hizi ni dalili kwamba tunarudi kwenye form wakati muhafaka na hatuko mbali na yimu ya juu.
...ha ha ha!, ukisoma hii habari, waweza jua nani ana lose Brain Cells haraka zaidi yangu.
...Mourinho, Avram Grant, Scolari, Ray Wilkins,... Next?
Hahahahahaha wapenzi wa Drogba (Rev Masa & Peasant, Invisible & Co) I mean Chelsea LOL! hongereni labda mnaweza kuambulia 3 points leo lakini kijasho chembamba kimewatoka hadi kusawazisha
Itaje tu timu ya juu ni ipi, usione noma Mkuu LOL!
Bubu umefufuka? Karibu sana mwanawane habari za kupotea?
Bubu umefufuka? Karibu sana mwanawane habari za kupotea?
Whose delusioned Now?
Je kuna haja hata ya kujibu anachoandika ..... Nay.
Wenger is next. Msimu utaisha kama kawaida yenu, sioni mkiwa hapo juu on New Year, same ol' arse, PRETENDERS.That's why nimekwambia una lose brain cells, na inaonekana ni kwa kasi kuliko nilivyofikiri mimi, unaamini vipi magazeti ya udaku?! Ukiambiwa uthibitishe hiyo habari hapo juu huwezi, kuna magazeti mengi sana ya kusoma kwa nini unachagua The Sun, NOTW, Daily Mirror, Daily Express and the like?
![]()
Michael Emenalo - Assistant first team coach.
Chelsea coach Emenalo tipped to become first Nigerian to lead Premier League club
12.12.10 |
Nigerian Michael Emenalo is in line to become the first of his countrymen to take charge of a Premier League club.
The Mail on Sunday says Chelsea manager Carlo Ancelotti could be on his way out of Stamford Bridge - and favourite to take charge on a caretaker basis is Emenalo.
Players still believe there are considerable tensions between Emenalo and Ancelotti, with the squad unclear whether the Nigerian coach is actually meant to go on to the training pitch or whether he is just an observer, studying for the UEFA Pro Diploma coaching badge.
Some within the club believe Emenalo would be asked to take over from Ancelotti if the Italian were to be dismissed this month.
Frank Arnesen resigns as Chelsea sporting director
Arnesen joined Chelsea from Tottenham in 2005![]()
Chelsea sporting director Frank Arnesen has resigned from his position and will leave at the end of the season, the club have announced. The 54-year-old has spent five years at Stamford Bridge, his role including managing the club's youth development.
The Dane, who previously worked at Tottenham, said he was leaving to "seek a new challenge".