balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,154
Wee Eddo wewe,Mungu anakuona.
Wee Eddo wewe,Mungu anakuona.
Ngoja tuone itakavyokuwaDrogba huenda Akapew hiyo nafasi mana kuna uvumi huo mkubwa
Hazard tu hapo hakuna mwngneMsubirini Lewandowski na Lukas Moura....
Chelsea should be in the mix to sign 'departing' Robert Lewandowski
Paris Saint-Germain offer Chelsea the chance to sign Lucas Moura
Kwani PSG ana shida gani na Chelsea mpaka anajipendekeza hivi duuh!!
Embu tusubiri tuonee...!
Kwani wakati anachukuliwa Pedro Hazard hakuwepo??Hazard tu hapo hakuna mwngne
Psg watakua wanamtaka HazardKwani wakati anachukuliwa Pedro Hazard hakuwepo??
Inawezekana kabisaa,... Ila Hazard, Neymar, Mbappe na Cavani duuh! Hawa jamaa mbn wanatamaa....Psg watakua wanamtaka Hazard
Na kante walikuwa wanamtaka tangu yuko Leicester city inaweza kuwa bado wanania naePsg watakua wanamtaka Hazard
Jamani nyie ndio mlikuwa munataka michael asepe ssa leo hiii mumeanza kuongea uzuri wake achen uzandikiWatu wameisahau Chelsea ya Emenalo ya kusajiri wachezaji wawili mpaka watatu kila nafasi. Lakini pia wanasahau kuwa huu mfumo wa kununua vijana wadogo na kuwaendeleza ili kuwauza na wengine kuwaingiza katika first team ni yeye kaubuni.
Na nahisi Monaco wanaweza kumchukua Emenalo maana si kichwa cha mchezo
Ndo ile gemu aliyopewa Tores na Mikel Red cards. Hii mechi naikumbuka sana. Niliumia sana siku hiyo.1 - Chelsea have lost just one of their last 15 home PL games against Man United (in Oct 2012), winning nine and drawing five. Confident.
Na hii mechi waliyotufunga tulikuwa 9 uwanjani na wao 12 (Howard Webb).
![]()
Ivanovic na Torres sio Torres na MikelNdo ile gemu aliyopewa Tores na Mikel Red cards. Hii mechi naikumbuka sana. Niliumia sana siku hiyo.
Ahsante kwa kumbukumbu mkuuIvanovic na Torres sio Torres na Mikel
Acha kutumia ujumuishi. Hata akiondoka wema wake kwa Chelsea hauwezi kufutika kwa sababu eti anaondokaJamani nyie ndio mlikuwa munataka michael asepe ssa leo hiii mumeanza kuongea uzuri wake achen uzandiki