Kwan Emenelo ameondika tafadhali nataka kujuaMarina Granovoskaia ni mwanamke mkuu.
Ofcoz huwa anazingua sana but hata Elemano hawezi kukwepa lawama
Emenalo ameachia ngaziKwan Emenelo ameondika tafadhali nataka kujua
Kazi sasa kumpata mtu atakayefaa zaidi hasa mwenye ushawishi japo kwa mtazamo wangu mtu kama Frank lampard anaweza fanya vizuri akiaminiwaIlikuwa ni lazima mmoja kati ya hawa hapa andoke darajani, lakini kwa busara za Bodi ya Chelsea na Mmiliki wameamua huyu Mkurugenzi waufundi asepe. Ilikuwa ni vita kubwa mno kufikia kutoelewana katika Kusajiri na Kuuza wachezaji.
Kabla ya huyu kundoka mtakumbuka Conte alikuwa na mkutano (exclusive) na mmiliki wa Chelsea Roman juzi kabla ya game na mashetani wekundu. Sisi wapenzi wa Chelsea tunashukuru Mungu kwamba Jembe letu sasa litakuwa na maisha marefu darajani ili kutupatia mataji mengi zaidi maana kikwazo kimeondoka.
Nawakilisha, huku nikiwapa pole mashetani wekundu baada ya juzi tulivyowanyima Udi wa kufukiza na kuwachapa kimoko huku tukiwaonyesha kandanda la kuvutia.
Welcome back Ngolo Kante.
![]()
![]()
hii nafsi ni muhimu mno kwa Club, na ndiyo maana kuna baadhi ya manunuzi na mauzo ya wachezaji yalikuwa yanaleta utata mkubwa; wapo watu wengi wenye uwezo - siku mbili tatu atakuwa kashapatikana.Kazi sasa kumpata mtu atakayefaa zaidi hasa mwenye ushawishi japo kwa mtazamo wangu mtu kama Frank lampard anaweza fanya vizuri akiaminiwa
Ni kweli mkuu unachokisema muhimu kutofanya kosa my hope conference ya kocha na Boss ilikuwa na umuhimu mkubwa kuliko ata kuachia ngazi kwa Emenalohii nafsi ni muhimu mno kwa Club, na ndiyo maana kuna baadhi ya manunuzi na mauzo ya wachezaji yalikuwa yanaleta utata mkubwa; wapo watu wengi wenye uwezo - siku mbili tatu atakuwa kashapatikana.
Lampard au Drogba naona wanaweza fit vizuri tuu hapo....Kazi sasa kumpata mtu atakayefaa zaidi hasa mwenye ushawishi japo kwa mtazamo wangu mtu kama Frank lampard anaweza fanya vizuri akiaminiwa
Sana sana lampardLampard au Drogba naona wanaweza fit vizuri tuu hapo....
Watu wameisahau Chelsea ya Emenalo ya kusajiri wachezaji wawili mpaka watatu kila nafasi. Lakini pia wanasahau kuwa huu mfumo wa kununua vijana wadogo na kuwaendeleza ili kuwauza na wengine kuwaingiza katika first team ni yeye kaubuni.Nafikiri kuna shida kubwa kati ya yule mwanamke na emenalo ndio maana ameamua kukaa pembeni
Sidhani kama conte amehusika hapa
MmmhhhhLampard au Drogba naona wanaweza fit vizuri tuu hapo....
Its a high paid post kama ukiipata basi umaskini bye bye, mshahara wa mil 340 TShs kwa wiki kamandaa. Ila unatakiwa kuwa na akili sana IQ yako iwe high, kufanya kazi na Roman ukimaliza mwaka we ni staa.Ngoja nichangamkie hili nafasi haraka