The _Analyst
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 466
- 564
Bayern wako tayari kuiuzia Chelsea Artulo Vidal endapo ada ya uhamisho ya £50M itafikiwa
Bayern wako tayari kuiuzia Chelsea Artulo Vidal endapo ada ya uhamisho ya £50M itafikiwa
Ana miaka 30 huyo kwasasa na si mchezaji ambae Chelsea inamuhitaji sana hivyo sioni uwezekano wa hiyo deal kufanikiwa.
Lampard or drogba wote sawaThe Sun reported that big boss Roman wanted Drogba to become Emenalo successor at Chelsea.![]()
Hatufai kabisa na hakuna atakachotupa na umri unamtupa mkonoBayern wako tayari kuiuzia Chelsea Artulo Vidal endapo ada ya uhamisho ya £50M itafikiwa
Mkuu hata mimi nampenda huyu dogo lakini tuwe wa kweli bado hajamfikia bakayoko![]()
Ila dogo kaosha sana jana aise...good game!
![]()
Ozil hakufua dafu..na alivyo mvivu sasa..
![]()
Akampiga na ... juu!!!
Hivi kulikuwa na haja ya kumnunua Bakayoko na kumtoa mkopo huyu!???
Mkuu hata mimi nampenda huyu dogo lakini tuwe wa kweli bado hajamfikia bakayoko
Apambane kwa miaka 2 anaweza kumfikia tatizo la Waingereza ni kuridhika mapema
Nakumbuka ule mshuti aloutungua mpaka mguu ukashitukaa.. nadhani ilikuwa ni mechi yetu na Arsenal.View attachment 626683
Happy birthday Joe Cole
unamkumbuka kwa tukio lipi?
Mimi namkumbuka kwa lile goli la kisigino alilowapiga Mwanitesa United pale pale kwao Old Trafford kwenye matofali ya kuchoma msimu wa 2009/2010.
Kizuri hakijifichi kitaonekana na watu wataanza kufuatilia na ataanza kugonga vichwa vya habariDuh miaka miwili kabisa mkuu!?? Si atakuwa amezeeka...23!!!
![]()
Ila dogo kaosha sana jana aise...good game!
![]()
Ozil hakufua dafu..na alivyo mvivu sasa..
![]()
Akampiga na ... juu!!!
Hivi kulikuwa na haja ya kumnunua Bakayoko na kumtoa mkopo huyu!???
Mkuu hata mimi nampenda huyu dogo lakini tuwe wa kweli bado hajamfikia bakayoko
Apambane kwa miaka 2 anaweza kumfikia tatizo la Waingereza ni kuridhika mapema
kabisa mkuu mitoto ya kiingereza sijui inakumbwa na ugonjwa gani nadhani ni vyombo vyao vya habari vinawakuza sana wachezaji hadi kupelekea kutokujituma.Kizuri hakijifichi kitaonekana na watu wataanza kufuatilia na ataanza kugonga vichwa vya habari
Miaka 23 alitakiwa awe ameshatuonyesha ni kifaa hatari
Narudia tena Waingereza wanaridhika mapema badala ya kuendelea kupambana
Mwangalie bakayoko ukiambiwa ana miaka 22 huamini ni kutokana na uzoefu wake na kucheza kwa bidii
Ameshafikia nusu fainali UEFA anajua namna ya kuipigania team kwenye makombe
Dogo ana safari ya kutuonyesha kitu kama anacho kila mtu akione
Game of tactics: Chelsea fc vs Man u
Na alisema pia yupo tayar kusign mkataba wa maisha chelsea kweny conference ilopitaa....Mshambuliaji wa Chelsea, raia wa Uhispania Alvaro Morata, 25, amesema kuwa yuko tayari kurudi Real Madrid licha ya kuuzwa na mabingwa hao wa Ulaya chini ya miezi minne iliopita. (Mirror)



Mpaka leo Walcott wanasemaga ana potential ya kuwa next Henry .kabisa mkuu mitoto ya kiingereza sijui inakumbwa na ugonjwa gani nadhani ni vyombo vyao vya habari vinawakuza sana wachezaji hadi kupelekea kutokujituma.
Waingereza wanajua wenyewe akili zao