Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Chelsea wampe nafasi huyu kijana au watajuta mbeleni kama ilivyokuwa kwa Kevin De Bruyne.



Yaani match moja tu apate nafasi akomae miaka miwili then tutajua yuko fiti au team zikianza kumfatilia basi tutamrudisha kama christiensen
Ngoja nitamwangalia tena match na Brazil ndio nitajua ameanza kujielewa au bado
Maana Waingereza wanajijua wenyewe
Wanajipa sifa nyingi wakati hawajui kuzitafuta
 
Yaani match moja tu apate nafasi akomae miaka miwili then tutajua yuko fiti au team zikianza kumfatilia basi tutamrudisha kama christiensen
Ngoja nitamwangalia tena match na Brazil ndio nitajua ameanza kujielewa au bado
Maana Waingereza wanajijua wenyewe
Wanajipa sifa nyingi wakati hawajui kuzitafuta

Yep, mwangalie against brazil, Pia mfuatilie kwenye mechi za Crystal Palace. He is going to be top top player. He has got everything. Power, strength, technic, vision and toughness all he need now is experince at top level. He will get that this year playing regularly in premier league.
 
Mchezaji wa Chelsea Eden Hazard, 26, ndiye ni nambari moja kati ya wachezaji wanotafutwa na meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane msimu ujao. (Sunday Express)
 
Real wamehusunishwa na matatizo ya jeraha la Gareth Bale na wanaweza kufikiria kumuuza mchezaji huyo wa miaka 28 huku Manchester United, Chelsea na Tottenham wakionyesha ni ya kumnunua. (Mirror)
 
75a002e9a553a317e6c5818070387512.jpg
My wing man nominated for the best African footballer of the year! Vote for him NOW! [HASHTAG]#BEAST[/HASHTAG]

BBC African Footballer of the Year 2017: Voting now open
 
Tetesi
UZA WILLIAN, NUNUA LUCAS MOURA


Chelsea watamuuza Willian Januari kwani wanataka kumsajili winga wa Paris Saint-Germain Lucas Moura majira ya baridi, le10sport limedai.
Habari zinadai kuwa mshambuliaji huyo wa Blues yupo tayari kwenda China jambo litakalomfungulia milango Lucas.
 
MOURINHO AJIPANGA KUMSAJILI LUIZ


Meneja wa Manchester United Jose Mourinho anajipanga kufanya uhamisho wa kushtukiza kumsajili beki wa kati wa Chelsea David Luiz, kwa mujibu wa Express .
Bosi huyo wa zamani wa Chelsea anaendelea kufuatilia maendeleo ya Mbrazili huyo baada ya kuachwa kwenye kikosi kilichocheza dhidi ya Man United wiki mbili zilizopita.
 
Imeripotiwa kuwa Luiz hana maelewano mazuri na meneja wa Chelsea Antonio Conte baada ya kuhoji mbinu za bosi wake Blues wakinyukwa 3-0 na Roma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom