Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mwenye picha ya mjukuu wa mama ndalichako aniwekee tafadhali
Uyo hapo ameweka pozi
Nyingine hiyo hapo yuko na mhindi kiko
Mwenye picha ya mjukuu wa mama ndalichako aniwekee tafadhali
Alicheza vizuri sana ukiacha uzembe wa kutaka kusababisha penaltySi ulikuwa una muombea Cahil aumie ili akae msimu mzima..
Ni kwa sababu alicheza namba ya Pedro yale ndio maeneo yake anayopenda kucheza na kupafomu vizuriYani leo Fabregas kaonekana bora tangu msimu uanze
Lete chanzo cha habariKuna vita baridi kati ya Conte na Kenedy pamoja na David Luiz. Sababu kuu ni kutotii maagizo ya meneja. Fate yao inaweza kuwa kama ya Costa kwani Conte kadai mchezaji yeyote anayekaidi maagizo yake hatacheza kwenye XI yake. Hata substitute hatapangwa na ndio maana hata kwenye sub Luiz na Kenedy hawapo.
We ndio hujaangalia vizuri mwisho mwisho pale kama refa angeona ilikuwa tuta pale na ingekuwa moja kwa mojaKwa wale wapuuzi wachache wanaoangalia mpira bila kuelewa nini wanaangalia na nini maana ya mpira walikuwa wakisema:
1.Cahill akianza Chelsea inafungwa
2.Cahill akianza Chelsea haitoki na Clean Sheet
3.Cahill ndio chanzo cha Chelsea kufungwa magoli.
Leo naomba mrejesho wenu mnajijua haina haja ya kuwatag hapa.
mkuu mm kwenye cahil naungana na eden kimaro jamaa mda wowote akianza anatuangushia jumba bovuHabari za mida wadau wa Chelsea.
Niwape hongera sn kwa ushindi mzuri wa Leo.
Vile vile nipende tu kuwashsuri wapenzi wa Chelsea wenzangu tupende kusapoti team yetu na wachezaji wetu ktk Hali yoyote ile. Na tusifate mkumbo wa hbr zisizo na mashiko.
Hapo nyuma kulikua na mjadala mkubwa sn juu ya wachezaji baadhi wa Chelsea. Leo mmeona wenyewe. Sasa mna kipi cha kujifunza au kuelezea kutokana na mchezo wa Leo?
Nilitoa michango hapo nyuma na nikaelezea matatizo yanayo isibu Chelsea.
Moja ya sbbu nilisema ile Hunger ya kufunga au kushinda ya wachezaji wa Chelsea imeshuka. Na Leo mmeona ilivorudi.
Nilieleza kwamba Conte asimpange Azpilicueta km wingback na kujaza mabeki kibao kuna ifanya team inakua butu mana Azpi hawezi siku hizi kupandisha mipira mbele. Nikasema sasa ni wakati wa Conte kuwaamini kina Zappacosta na Christensen. Na Leo amefanya hivo matokeo yake mmeyaona.
Kitu kingine Leo Conte alichofanya ni kumpunguzia Faby majukumu ya ukabaji sn na badala yake atengeneze passes za kumwaga. Mmeona Leo kz yake.???
Nimpongeze sn Christensen kwa kiwango chake kizuri mana alimfunika kabisa Lukaku.
Pia nafikiri ata mjadala kuhusu Cahill sasa nafikiri utakua umefungwa. Mana amewaprove wote wrong.
Kwa sasa ni hayo tu. Tuendelee kushehelekea ushindi
lukaku had zero chance at penalty boxHivi Lukaku leo alikuwepo uwanjani kweli?
Hakuonekana kabisa, huyu mtoto Christensen ana roho mbaya sana
Leo kacheza vizuri ila huu ukabaji wake wa kurudi nyuma unanisumbua sanaMkuu ata wewe????
Mpe stahiki yake Captain wetu Cahill.
cahill ana makosa meng madogo madogo tushukuru ile penalty walivopetaKwa wale wapuuzi wachache wanaoangalia mpira bila kuelewa nini wanaangalia na nini maana ya mpira walikuwa wakisema:
1.Cahill akianza Chelsea inafungwa
2.Cahill akianza Chelsea haitoki na Clean Sheet
3.Cahill ndio chanzo cha Chelsea kufungwa magoli.
Leo naomba mrejesho wenu mnajijua haina haja ya kuwatag hapa.
Yaani mkuu uko kama mimi hata msimu uliopita cahil alikuwa anabebwa na viwango bora vya Asp,luiz,na alonsoBado Nina doubt naye sana, let him prove me wrong on the pitch kama alivyofanya leo, pia Mimi huwa sibebwi sana na matokea mazuri ya hapa na pale ,consistency ndio muhimu ..
Atafungwa tu ndivyo ninavyoaminiNatamani yule jamaa pale just apunguzwe point
Tena laana ya kufa na kuzikanaTuyaache haya,ila tukimuuza huyu dogo Adreas tutapata laana haki ya nani tena
Shida ipo sana kwa luizKuna vita baridi kati ya Conte na Kenedy pamoja na David Luiz. Sababu kuu ni kutotii maagizo ya meneja. Fate yao inaweza kuwa kama ya Costa kwani Conte kadai mchezaji yeyote anayekaidi maagizo yake hatacheza kwenye XI yake. Hata substitute hatapangwa na ndio maana hata kwenye sub Luiz na Kenedy hawapo.
Na Conte ameshasena wazi Luiz itabidi apambane sana ili kurudisha hiyo nafasiKwanza niseme christiensen anastahili kuanza kwenye nafasi ya luiz
Amemzidi luiz vitu vingi sana huwa namshutumu cahill mara nyingi lakini sasa nahamia kwa luiz ni bora akae benchi hata jukwaani ajifunze nidhamu ya mchezo
Hata match na Roma ukiacha conte kumpeleka katikati aspi
Kule nyuma sababu za kufungwa bao la mapema ni luizi na mengine yote yaliyofuata hana nidhamu ya mchezo luiz ndio maana anatugarimu
Urejeo wa ngolo bakayoko hazard walikuwa powa sana kwenye ile match
Kwa kweli kwa sasa namsamehe cahil makosa yake ni madogo sana kwa sasa ukilinganisha na luiz
Conte ni lazima ampe christiensen nafasi ya luiz
Jana alinifanya nisiwe na wasiwasi na man u
Congratulation christiensen ni muda wako sasa naamini conte ameshagundua mbaya wake pale nyuma
Sio cahill tena ni luiz
Huenda hana mazoezi ya kutosha kama msimu uliopita au nini sijui ila msimu huu luiz yuko hovyo sana
Haya ni maoni yangu baada ya kusoma mahojiano ya Conte kwenye vyombo vya habari. Ukitaja chanzo unaweza search Conte Luiz relation after Roma GameLete chanzo cha habari
Ni kwa sababu alicheza namba ya Pedro yale ndio maeneo yake anayopenda kucheza na kupafomu vizuri