lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Saa moja na nusuKwani mechi saa ngap wakuu...???
Saa moja na nusuKwani mechi saa ngap wakuu...???
Mkuu hiyo Combination ya hao watu hapo kati toa Fabrigas weka bakayoko![]()
Kama conte ana akili apange kikosi namna hii nakuhakikishia tunashinda hii match
Sio ana mweka tena aspi katikati anakera sana wakati mwingine
Sina shida na mchezaji yeyote wa chelsea
Ila cahill ananipa wasiwasi na ukabaji wake wa kurudi nyuma
Ana upulizia mpira kwa upepo ili utoke![]()
Huyo ndio cahill nafikiri wote mnaijua hii match


AmenNimeipenda hii squad...kila la kheri kwetu!
Mwili wa Bakayoko ni wa muhimu sana kwa timu yetuBakayoko wala asiogope...acheze hivyohivyo, second. Half huko tumuingize Drinkwater!