Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama starts sio hoja kwako hasi hatuwezi elewana.
weka starts mezani sisi tunaom troll tuaibike.
Mbona wewe umeshindwa kuainisha makosa ya Cahill?

Game na Watford. Azpi alijifunga. Majuzi na Roma alifanya uzembe mpira ukapigwa mbele yake wakafungwa goli la kwanza.

Niambie Cahill alifanya makosa gani?
 
Mbona wewe umeshindwa kuainisha makosa ya Cahill?

Game na Watford. Azpi alijifunga. Majuzi na Roma alifanya uzembe mpira ukapigwa mbele yake wakafungwa goli la kwanza.

Niambie Cahill alifanya makosa gani?

Kama kujifunga Cahili ndo anaongoza league nzima
Last season unakumbuka mechi na mancity???? cahili alifanyaje na krosi ya debrune????
mechi na spurz last season????
vs swansea????
ni game nyingi sana cahili kajifunga hata hazielezeki, azpiculeta akijifunga ni nadra hadi waweza msamehe.
LETE STARTS TUAIBIKE TUNAOM CRITICISE CAHILI.
 
'Zouma looks lost' - Chelsea fans react to defender's display against Leicester City
The on-loan defender has had a mixed game for Stoke


Andy Ha
  • 14:11, 4 NOV 2017
CHELSEA


4221396001_5634309420001_5634295394001-vs.jpg


CLICK TO PLAY
WATCH NEXTChelsea pre-season tour squad absences explained as Manchester United target Matic is left behind
Get Chelsea updates directly to your inbox
Chelsea fans have taken to social media to comment on Kurt Zouma's performance for Stoke City against Leicester.

The Potters are currently level with Claude Puel's side, after goals from Xherdan Shaqiri and Peter Crouch levelled up efforts from Vicente Iborra and Riyad Mahrez.

p:nth-of-type(2)","sizes":[[8,8]],"hideOnSensitiveArticle":true,"relativePos":"after","additionalClass":"in-article","name":"div-gpt-ad-vip-slot","type":"VIP"}" data-response-start="9885.000000000002" data-type="gpt" data-requested="12160.995" data-google-query-id="CJTXvqfIpdcCFTcj0wodljAFsA" data-timer-slot-rendered="17793.000000000004" data-rendered-width="1" data-rendered-height="1" data-viewable="true" data-response-end="34679" style="background: transparent; border: 0px; margin-bottom: 24px; outline: 0px; vertical-align: baseline; overflow: hidden; z-index: 1; height: 1px; max-height: 1px;">
The French defender, currently on loan at the bet365 stadium, played the pass to Eric Chupo-Moting, who assisted Shaqiri's equaliser in the first half, but it has generally been a tough afternoon for Zouma
 
Antonio Conte reveals details of conversation with Roman Abramovich at Chelsea training ground
 
Paul Merson explains why he feels Cesc Fabregas is a 'liability' in Chelsea's midfield
 
Kama kujifunga Cahili ndo anaongoza league nzima
Last season unakumbuka mechi na mancity???? cahili alifanyaje na krosi ya debrune????
mechi na spurz last season????
vs swansea????
ni game nyingi sana cahili kajifunga hata hazielezeki, azpiculeta akijifunga ni nadra hadi waweza msamehe.
LETE STARTS TUAIBIKE TUNAOM CRITICISE CAHILI.
Unaona unavoongea vitu va ajabu.

Nakupa makosa ya Azp msimu huu urakia mambo ya msimu ulo pita. Huna hoja ndugu na umeshindwa kileta makosa ya Cahill alofanya uwanjani
 
Unaona unavoongea vitu va ajabu.

Nakupa makosa ya Azp msimu huu urakia mambo ya msimu ulo pita. Huna hoja ndugu na umeshindwa kileta makosa ya Cahill alofanya uwanjani


MKUU LETE STARTS NIAIBIKE NA NIONEKANE NAONGEA VITU VYA AJABU.
WEKA STARTS ON TABLE NIUMBUKE
NINYAMAZISHE KWA STARTS ZAO.
MBONA UNAKUWA MZITO KULETA HIZO STARTS???????
zilete niaibike.
 
Unaona unavoongea vitu va ajabu.

Nakupa makosa ya Azp msimu huu urakia mambo ya msimu ulo pita. Huna hoja ndugu na umeshindwa kileta makosa ya Cahill alofanya uwanjani


mbona unakuwa kama KHALIFA AM, kaambiwa alete starts akaanza porojo na akatokomea moja kwa moja.
NINYAMAZISHE KWA STARTS ZAO.
 
- Mkuu Nando, tafadhali jaribu kuedit post zako kabla hujaziweka huku. Naona unakaribia kuwa kama Rutashubanyuma

- Cahill is not the worst defender katika mabeki tulionao. Inaonekana tu rahisi kumponda. Cahill ni bora kuliko Rudiger. LAKINI kama lengo ni kutafuta beki itakayodumu pamoja basi napendekeza Luiz-Christensen-Azpilicueta. Hawa wakicheza pamoja game mbili tatu, basi watatengeneza kuzoeana na makosa madogo madogo hayatajitokeza. Hili ndilo linaloigharimu Chelsea kwa sasa, kila siku wachezaji wanabadilishwa. Mazoezini wanaonekana sawa, ila uwanjani hali ni tofauti. Sasa badala ya kuwaacha hao hao mechi inayofuata, wanabadilishwa tena.

- Cahill ana bahati mbaya ya nafasi anayocheza. Hakuna asiyejua Alonso hana msaada sana kwa Cahill mashambulizi yanapotokea upande wao. Tofauti na ambapo Azpilicueta akicheza na Moses. Ndiyo maana stats hizo hizo zinazoonesha Azpilicueta akiwa 'captain' tunashinda ni kwa kuwa Azpilicueta anakuwa anacheza nafasi yake kama beki na aidha Mose/Zappacosta wanacheza wing..kwa wing ile ni mara chache watakosea.

- Kuhusu suala la ukapteni wa Cahill. Nimeangalia mechi ya Roma juzi. Kigezo cha kumfanya Azpi awe captain ni muda kikosini na kujituma kwake. Hili halina ubishi, Azpilicueta anajituma uwanjani na mazoezini hata wachezaji wenzake wote wanakiri hili. Kama tunataka Captain wa kupiga kelele uwanjani basi apewe D. Luiz. Kama tunataka Captain mwenye muono basi apewe Fabregas. Kama tunataka Captain wa jina, apewe Hazard. Kuwa Captain ni zaidi ya dakika 90 uwanjani. Cahill ni mkongwe kwenye timu, ana nidhamu na ni mchezaji ambaye anajituma, unaweza ukamtumia kama mfano kwa wachezaji wengine. Hapo ndipo anapozidi Azpilicueta. Naamini msimu ujao atacheza mechi za Carabao sana sana na hapo ni kama Conte ataamua kutulia kama msimu uliopita na kupata beki stahiki.
 
mbona unakuwa kama KHALIFA AM, kaambiwa alete starts akaanza porojo na akatokomea moja kwa moja.
NINYAMAZISHE KWA STARTS ZAO.
Watu mnapenda sn ubishi na kwa taarifa yako Leo Luiz anakalia bench hasa baada ya Andy kushiriki mazoezi kikamilifu hizi siku za hivi karibuni.
 
Mimi nachoamini siasa za Chelsea zilivyo hasa kocha akizinguana na mchezaji wake, Kitendo cha Conte kumtumia txt Diego kimewapa mshtuko wachezaji kwa maana jinsi Chelsea ilivyo ataondoka tu. Watu wanacheza chini ya kiwango ikiwa ni pamoja na kuchomesha, kuna kitu kinaendelea ni suala la muda tu!
 
Kumtoa dk 51 sio kwamba alikua kapwaya ili ni mbinu kuongeza attacker hasa ukinzingatia Azpilicueta alikua amesha fail kupandisha mipira as wingback ndio mana ikamlazimu Pedro kuja kucheza huo upande na Willian kucheza nafasi ya Pedro.

BTW mi nipo hua napita kimya kimya tu.

Baada ya kukujibu swali lako naomba nijibu maswali yng sasa.

Nitajie makosa aliyofanya Cahill mpk tukafungwa na Roma.

Nitajie makosa alofanya Cahill ktk game tatu za nyuma mana naona unataka statics sasa lete ushahidi wako kwanza
Hii game ya Roma Conte ndio wa kulaumiwa kwa kuvuruga timu. Kawaweja wachezaji wengine kwenye namba ambazo hawakuzizoea. Pia alijaza mabeki nyuma kama ni timu ya shule inacheza na premiere league team. Kwa upande wa Carhill general performance yake sio nzuri. Makosa mengine anayofanya ni technical kiasi kwamba kocha ndie anayeweza kujua na ndio sababu mojawapo ya kutolewa au kutoanza kwenye XI
 
Hii game ya Roma Conte ndio wa kulaumiwa kwa kuvuruga timu. Kawaweja wachezaji wengine kwenye namba ambazo hawakuzizoea. Pia alijaza mabeki nyuma kama ni timu ya shule inacheza na premiere league team. Kwa upande wa Carhill general performance yake sio nzuri. Makosa mengine anayofanya ni technical kiasi kwamba kocha ndie anayeweza kujua na ndio sababu mojawapo ya kutolewa au kutoanza kwenye XI
Hamna kitu kinachonikela kama kuona Conte anavyopanga mabeki wengi kuliko viungo ni kama vile hajiamini wakati chelsea ni timu kubwa na ina wachezaji wazuri wanaoleta matokeo uwanjani

Kama atapanga tena huu mfumo wa kujaza mabeki wengi basi ushindi utakuwa mgumu kwetu na ukizingatia tupo nyumbani
Ni kitendo cha kumpa nguvu adui yako kukushambulia hata kama anauwezo mdogo
 
Conte axed Luiz after sensationally bust-up!
Kama kweli balaa hilo linawanyemelea!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom