1999 mashabiki wa Manchester tunaukumbuka kwa kubeba treble baada ya kuzigalagaza na kuziburuza buruza vibaya mno Barcelona na Juventus (moja ya timu iliyokua hatari sana kipindi hicho) huku tukimliza kama mtoto Samuel Kuffour na bishoo Basler na bayern yao.Tarehe kama ya leo nilikupiga 5-0, ilikua mwaka 1999.
ferguson alipata bipolar.
REMIER LEAGUE FEATURES
1999: Chelsea end United’s unbeaten run with rout
Back in 1999, Chelsea routed Man United 5-0 at Stamford Bridge to end United’s 29-match unbeaten run. Chelsea and United play again this Sunday at 11:30am ET on NBCSN.
Baadhi ya makocha wanaweza kureplace hao key players.Sir Alex Ferguson kuna baadhi ya mechi alikuwa akawapumzisha key players akawareplace na average players na still akapata matokeo kuna kipindi aliwatumia wachezaji kama Butt,Brown,Oshea,Fletcher,Park Ji Sung na still alikuwa anashinda.Currently Guardiola ameitengeneza timu kila mchezaji ana mchango mkubwaTimu yeyote sio Chelsea tu
Mancity
Manu
Barca
Psg
Msululu ni mrefu , kuna key players wakikosekana chemistru ya timu inakataa.
Tuweni wakweli jamaniBaadhi ya makocha wanaweza kureplace hao key players.Sir Alex Ferguson kuna baadhi ya mechi alikuwa akawapumzisha key players akawareplace na average players na still akapata matokeo kuna kipindi aliwatumia wachezaji kama Butt,Brown,Oshea,Fletcher,Park Ji Sung na still alikuwa anashinda.Currently Guardiola ameitengeneza timu kila mchezaji ana mchango mkubwa
Pochetino ameifanya Spurs msimu huu kwa muda mrefu ilikuwa inacheza bila ya Wanyama,Dembele na Dier, Je umeona pengo la Walker au Rose msimu huu ?
Unaweza kumlinganisha Fletcher/Park Vs Scholes /KeaneTuweni wakweli jamani
Fletcher hakua mchezaji wa kawaida. Hii ndio ilikua injini ngumu na yenye roho ya paka na mbishi kuliko Carrick Leo mmesahau kisa tu mwataka kuinanga the blues?
Jamani hebu tuwe na break kidogo.
Park Ji Sung Leo kawa mchezaji wa kawaida wakati ndio alikua mshale mwepesi mkali wenye sumu Kali ambao ukikuchuna tu km matibabu yake hujaenda tibiwa Appolo India lazima ufe. Leo hii kawa mchezaji wa kawaida?
Brown na Oshea hawa walikua defenders wazuri sn wabishi wenye kucheza sehemu za beki zote iwe Kati pembeni na ata ktk DM Leo wachezaji wa kawaida kisa Chelsea![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tuwe wakweli ata kidogo.
Asante mkuu.Ntuzu karibu tena jukwaani
1.Mpira wa siku hizi brain ya timu inakuwa katikati Kante aliibeba Leicester alivyoondoka pengo lake likaonekana akaja Chelsea mchango wake ukaonekana akikosekana pengo linaoneka wazi
2.Defence ya Chelsea sio nzuri sana mara nyingi viungo (Matic,Kante) ndio wanaifanya inaonekana ni nzuri wakikosekana makosa yao yanaonekana vizuri hizi game za Roma zimeonyesha ubovu wao
Hayo makosa ya kina Pedro,Willian,Cahil wanayafanya mara nyingi lakini viungo huwa wanafanya yasionekane siku nyingine
Ndio naweza.Unaweza kumlinganisha Fletcher/Park Vs Scholes /Keane
Unaweza kumlinganisha Oshea,Brown na kina Rio,Vidic,Stam,GNeville ?
Umekaa na simu yako unaandika kiwepesi as if wewe unaijua Chelsea au no kocha mzuri kuliko conte aisee, Unataka kutuambia wewe unamjua vizuri zapacosta kuliko conte aliyemleta pale Chelsea duuuh.Date: 31st Octo
kiongozi, mechi ya jana kwa sisi wana blues tunaoijua team vizuri tulivoona tu LINEUP tulijua tunafungwa goli nyingi ila idadi ndo haikujulikana. kwasababu zifuatazo
1. kiungo-kumuweka fabregas+bakayoko ambao wote wanacheza kama wanalazimishwa VS viungo strong wa roma. drinkwater alitakiwa aanze na bakayoko na fabregas akae benchi.
2. beki-cahili hastahili kuwepo kwenye 1st11 nadhani mliona hadi akaamua kumtoa dakika ya 51 ku avoid further damage. weka[LUIZ+RUDIGER+AZPICULETA].
3.Marcos Alonso kashuka kiwango hastahili kuwepo kwenye 1st11 insteady muweke KENNEDY dogo anajituma.
4.Azpculeta kucheza wingback insteady of zappacosta ni tatizo kwa conte. weka zappa mtu ambaye kazoea namba yake.
Km G Neville alikua butu kweli ata Raphael na Fabio walikua wazuriUnaweza kumlinganisha Fletcher/Park Vs Scholes /Keane
Unaweza kumlinganisha Oshea,Brown na kina Rio,Vidic,Stam,GNeville ?
Umekaa na simu yako unaandika kiwepesi as if wewe unaijua Chelsea au no kocha mzuri kuliko conte aisee, Unataka kutuambia wewe unamjua vizuri zapacosta kuliko conte aliyemleta pale Chelsea duuuh.