eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Yote kwa yote batman anazidi kunivutia katika shida bila yeye tena tulikuwa tumekufa
the one who laugh last laugh longest
Hahaaaa.. Ngoja niitume kwenu. 2-0 *****
Wacha iungue tuJamani nyumba ya jirani inaungua....
Wiliani kaingia kubadilisha kila kituJamani mmeona kazi ya Willian leo. Kanikosha leo kabadilika
Asee big up kwao sanaa....Wiliani kaingia kubadilisha kila kitu
Na zappa
Kumbe hupo huku.....!!!!Wakati huo unapambana kutoshuka daraja, kwa ule mpira uliocheza jana. Chelsea inatakiwa kucheza Championship na sio Premier League.
Hapo bado haujakutana na New Castle, Watford, Huddlesfield.
ukiongea weka akiba ya manenoOndoa Asp hapo katikati, ondoa fabrigas la sivyo kufungwa ni haki yetu
Cahill ningekuwa mimi conte ni benchi tu
Conte kakosea kati na nyuma
Rudiger, aspi,christiensen
Katikati alonso,luiz,bakayoko,alonso
Kumchezesha aspi katikati ni kufeli mapema tu wakati zappacosta yupo
Narudia conte anapenda kufungwa mwenyewe
Akitimuliwa alilaumu mwenyewe
ushatolewa bikra huko skilizia mimbaNaona sasa mtaacha ule msemo wenu fulani kashinda vs timu ndogo, sisi tumecheza na timu kubwa......timu ndogo nazo shiiida!
Na Matic je siyo tatizo huko? naskia timu iliyopanda daraja imekutoa bikra *****Kama DM ni mbovu mtamsingizia Cahill kila siku,Bakayoko ni tatizo la kubwa
hao wanaitwa mashabiki maandazi wapo kama bendera wanafata upepo tuDakika 20 zilizopita mashabiki wa Chelsea humu full kulalamika. At the end magego yote yanaonekana na Conte aendelee kubaki
Kumbe hupo huku.....!!!!
Qweli mquu ..aqiba muhimu sanaukiongea weka akiba ya maneno
Hahahaha wee jamaa banaa unapambna sana.Hauna beki
Hauna mido
Huwezi mfunga yyt top 5 aisee!
Yule forwards wa Watford kakosa bao 2 za wazi mno,walistahili Watford washinde!
Hamna team pale aisee
spurs ni top ngapi? kamuulize nilimfanyaje?Hauna beki
Hauna mido
Huwezi mfunga yyt top 5 aisee!
Yule forwards wa Watford kakosa bao 2 za wazi mno,walistahili Watford washinde!
Hamna team pale aisee