Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

So far ilipaswa Watford awe na magoli 4,wamekosa magoli ya kizembe sana
 
Daah mazee mbna tunapigwaa hiv. .au kuna mgomo nin..
Siku pale nyuma conte aliichezesha hivi
Aspi,luiz,rudiger
Au aspi,rudiger,christiensen
Hapo wasi wasi utakuwa umekwisha

Wakati huu kante akiwa majeruhi luiz angemsaidia vizuri sana bakayoko lakini conte halioni hilo badala yake amempeleka aspi katikati

Tutatungwa kwa uzembe wa conte tu
 
Naona sasa mtaacha ule msemo wenu fulani kashinda vs timu ndogo, sisi tumecheza na timu kubwa......timu ndogo nazo shiiida!
 
Siku pale nyuma conte aliichezesha hivi
Aspi,luiz,rudiger
Au aspi,rudiger,christiensen
Hapo wasi wasi utakuwa umekwisha

Wakati huu kante akiwa majeruhi luiz angemsaidia vizuri sana bakayoko lakini conte halioni hilo badala yake amempeleka aspi katikati

Tutatungwa kwa uzembe wa conte tu
Azpilicueta - Christensen - Luiz.
 
Siku pale nyuma conte aliichezesha hivi
Aspi,luiz,rudiger
Au aspi,rudiger,christiensen
Hapo wasi wasi utakuwa umekwisha

Wakati huu kante akiwa majeruhi luiz angemsaidia vizuri sana bakayoko lakini conte halioni hilo badala yake amempeleka aspi katikati

Tutatungwa kwa uzembe wa conte tu
Mkuuuu mwache CONTE qama alivyoooo..... anajuaa bhanaa
 
Nafikiri zappa aliongeza kitu
Kitendo cha kumtoa alonso na kumwingiza wilian kiliongeza kitu pia na team kuanzia hapa ilibadilika kabisa
Alonso anaturostisha wakati mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom