Siku pale nyuma conte aliichezesha hiviDaah mazee mbna tunapigwaa hiv. .au kuna mgomo nin..
Azpilicueta - Christensen - Luiz.Siku pale nyuma conte aliichezesha hivi
Aspi,luiz,rudiger
Au aspi,rudiger,christiensen
Hapo wasi wasi utakuwa umekwisha
Wakati huu kante akiwa majeruhi luiz angemsaidia vizuri sana bakayoko lakini conte halioni hilo badala yake amempeleka aspi katikati
Tutatungwa kwa uzembe wa conte tu
Usitoke hapa mkuuNaona sasa mtaacha ule msemo wenu fulani kashinda vs timu ndogo, sisi tumecheza na timu kubwa......timu ndogo nazo shiiida!
Mzee mwenzangu hongera in advance game ilikuwa imekataa ila vijana wako hawakukuangusha.Azpilicueta - Christensen - Luiz.
Kufungwa katikati ya mechi kunatokea kwa kila timu hapa dunianiTumeshapigwa cha pili huko
Kama DM ni mbovu mtamsingizia Cahill kila siku,Bakayoko ni tatizo la kubwaAzpilicueta - Christensen - Luiz.
Mkuuuu mwache CONTE qama alivyoooo..... anajuaa bhanaaSiku pale nyuma conte aliichezesha hivi
Aspi,luiz,rudiger
Au aspi,rudiger,christiensen
Hapo wasi wasi utakuwa umekwisha
Wakati huu kante akiwa majeruhi luiz angemsaidia vizuri sana bakayoko lakini conte halioni hilo badala yake amempeleka aspi katikati
Tutatungwa kwa uzembe wa conte tu
Usiseme hivyo kwa sababu tumeshinda vipi kama tusingefunga hayo magoli tumeshafungwa kisa beki na kiungoMkuuuu mwache CONTE qama alivyoooo..... anajuaa bhanaa
Lazima tulalamike pale tunapoona mambo ni vululu vululuDakika 20 zilizopita mashabiki wa Chelsea humu full kulalamika. At the end magego yote yanaonekana na Conte aendelee kubaki