Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani hadi kocha analalamika then wewe unapinga??????
We lack squard depth.
 
Kama unaifatilia timu basi uje na hoja nyengine maana kwa hoja hiyo ya spirit nimeshakupa mifano ya mechi kadhaa hapo juu.
Tuna kikosi chepesi kwa uthibitisho upi labda?
Yaani hadi kocha analalamika wewe unapingana nae????
Yaani tusimuamini mtu ambaye kakabidhiwa jukumu na sisi tunaona then tukusikie wewe?????
 
Yaani kila nionapo cahili na fabregas wameanza huwa nakuwa na wasiwasi sana.
Hawa watu hawastahili kuwepo kwenye 1st11.
Vinginevo tutakuwa mediocresity team.
Willian nae kashuka sana kiwango hata ukiangalia goli la pili yeye ndo source. Anaanguka anguka kama hafanyi mazoezi.
 
Yaani hadi kocha analalamika wewe unapingana nae????
Yaani tusimuamini mtu ambaye kakabidhiwa jukumu na sisi tunaona then tukusikie wewe?????
unajua maana ya squad depth?
Conte alikuwa akilalamika hayo kipindi msimu unaanza Bayoko na Hazard wakiwa majeruhi na baadhi ya wachezaji wanatumikia adhabu(Cahill,Fabregas na Moses) wakati huo Zappacosta na Drinkwater hawajasajiliwa hivyo kupelekea ufinyu wa kikosi.
Kwasasa Chelsea wana squad depth tena kubwa sana almost kila nafasi ina watu wawili ambao viwango vyao havipishani sana kwa ubora kasoro pale kwa Morata.
Ni bora ungezungumzia injuries zilizoikumba timu kwasasa na baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa vizuri hivi karibuni kama sababu ya timu kutofanya vizuri ningekubaliana na wewe.
 
unajua maana ya squad depth?
Conte alikuwa akilalamika hayo kipindi msimu unaanza Bayoko na Hazard wakiwa majeruhi na baadhi ya wachezaji wanatumikia adhabu(Cahill,Fabregas na Moses) wakati huo Zappacosta na Drinkwater hawajasajiliwa hivyo kupelekea ufinyu wa kikosi.
Kwasasa Chelsea wana squad depth tena kubwa sana almost kila nafasi ina watu wawili ambao viwango vyao havipishani sana kwa ubora kasoro pale kwa Morata.
Ni bora ungezungumzia injuries zilizoikumba timu kwasasa na baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa vizuri hivi karibuni kama sababu ya timu kutokufanya vizuri ningekubaliana na wewe.
Hivi wewe huwa unafatilia hata press conference za antonio conte??????????
Maana daily huwa analalamikia squard depth hata jana baada ya kufungwa kwenye press alivoulizwa alijibu "my message was clear(to the board/staff).
Juzi napo alisema anafikiria kuwachezesha watoto akina Ampadu na Scot as midfield au beki kama luiz wawe DM.
Sasa kocha alalamike daily kuhusu squard depth then wewe useme chelsea tuna kikosi kipana, kweli???????????
Wewe MD ya fab+bakayoko unaona itaweza pambana na barcelona/psg/spurz/madrid/bayern????????
 
f6e8b121af1bb53710bf6eb11e720058.jpg
 
Hivi wewe huwa unafatilia hata press conference za antonio conte??????????
Maana daily huwa analalamikia squard depth hata jana baada ya kufungwa kwenye press alivoulizwa alijibu "my message was clear(to the board/staff).
Juzi napo alisema anafikiria kuwachezesha watoto akina Ampadu na Scot as midfield au beki kama luiz wawe DM.
Sasa kocha alalamike daily kuhusu squard depth then wewe useme chelsea tuna kikosi kipana, kweli???????????
Wewe MD ya fab+bakayoko unaona itaweza pambana na barcelona/psg/spurz/madrid/bayern????????
naona uelewa wako ndiyo tatizo hatutafikia muafaka.
 
Antonio conte has admitted that following with the defeat yesterday, Chelsea is facing with difficulties in catching man city, WHO are 9 points clear over Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom