Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Kwa maoni yangu mimi kule nyuma ingekuwa hivi
Rudiger, christiensen, aspiliqueta
Then alonso,luiz,bakayoko,moses
Halafu mbele namaliza na
Hazard, batshuay,pedro
Hapa tutakuwa salama mengine tumuachie conte ila mimi ningepanga hivyo kikosi changu
cahill kakosea kitu gani leo? au ndo ashakuwa na damu ya kunguniBack line haiko makini hasa huyu cahil