Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Uliangalia mechi na Atletico Madrid? Uliangali mechi na Spurs? Uliangalia mechi na Burnley?Tunaangalia na timu yetu ilivyo, kufungwa sio tatizo kabisa, lakini hatuna timu ya upambanaji
Au unazungumzia upambanaji wa aina gani?