Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,192
Daah jamaa wamepatia holi lao la kwanza la msimu kwetu..
Cahill kakukosea nini sasa!??Back line haiko makini hasa huyu cahil
Anafanya opponent wanatapa mipira ya kurusha kila mara pia anarudi na kukabia ndani ya 18 kila maraCahill kakukosea nini sasa!??

Anyway sijaona kosa la Cahill leo aisee.Anafanya opponent wanatapa mipira ya kurusha kila mara pia anarudi na kukabia ndani ya 18 kila mara
Mkuu yote kwa yote tuna kikosi kichache hata kocha alilalamika kuhusu hali hiyo lakini hakueleweka.. Tuna safari ndefu mno mwaka huuSub moja tu ifanyike..MAPEMA...
Toa Willian weka Pedro.
Bado najiuliza ni kwa nini impadu hajacheza namba ya kanteYule kijana wanamwita impadu nafikikiri anaweza sana kuicheza hii namba kama maji hajapona
Sijawahi kumkubali huyu mtuBack line haiko makini hasa huyu cahil
Asante hapa ndipo anaponiboa sana na sijui kwa nini conte asimweke benchiAnafanya opponent wanatapa mipira ya kurusha kila mara pia anarudi na kukabia ndani ya 18 kila mara
Angempandisha luizi katikati acheze na bakayokoAnyway sijaona kosa la Cahill leo aisee.
Tunaona pengo la Morata
Na Kante pale kati pamepwaya sana...kweli Kante anawapa wachezaji wrngi uhuru wa kushambulia
Sio kweli hata kidogoMkuu yote kwa yote tuna kikosi kichache hata kocha alilalamika kuhusu hali hiyo lakini hakueleweka.. Tuna safari ndefu mno mwaka huu
Kuumia kwa Ng'olo katikati na Morata pale mbele yamkini tumejionea