Bado najiuliza ni kwa nini impadu hajacheza namba ya kante
Match kama hizi zinahitaji watu wa kazi fabrigas sio mtu wa kazi pale katikati
Asante hapa ndipo anaponiboa sana na sijui kwa nini conte asimweke benchi
Yupo rudiger luiz, aspi au christiensen
Naona anatafuta kufukuzwa huyu
Daah cjui kwanin board ilimuachia Tammy Abraham, Musonda Jr hakuw wakubak chelsea asee.....
Kwa nini ?Hivi kwanini amemsajili Zappa halafu hampangi???
Rekebisha wewe mmepigwa game tatuChelsea iangalie vizuri isije ikamaliza ikiwa namba 10. Ukifungwa na Palace na Banley maana yake uko weak sana. Msimu uliopita ili kuchukua ubingwa tulipoteza mechi 2 tu. Sasa hata round ya kwanza haijaisha tumeshapoteza mechi mbili na drop moja. Kiukweli we are not among the tittle contenders kutokana na matokeo ya leo.
Bila Morata na Kante leo kikosi kimekuwa kibaya kuliko hata Arsenal.
Msimu uliopita mlipoteza mechi 5.Chelsea iangalie vizuri isije ikamaliza ikiwa namba 10. Ukifungwa na Palace na Banley maana yake uko weak sana. Msimu uliopita ili kuchukua ubingwa tulipoteza mechi 2 tu. Sasa hata round ya kwanza haijaisha tumeshapoteza mechi mbili na drop moja. Kiukweli we are not among the tittle contenders kutokana na matokeo ya leo.
Bila Morata na Kante leo kikosi kimekuwa kibaya kuliko hata Arsenal.
Conte anajitakia mwenyewe kupoteza matchChelsea iangalie vizuri isije ikamaliza ikiwa namba 10. Ukifungwa na Palace na Banley maana yake uko weak sana. Msimu uliopita ili kuchukua ubingwa tulipoteza mechi 2 tu. Sasa hata round ya kwanza haijaisha tumeshapoteza mechi mbili na drop moja. Kiukweli we are not among the tittle contenders kutokana na matokeo ya leo.
Bila Morata na Kante leo kikosi kimekuwa kibaya kuliko hata Arsenal.
Mkuu andika yale madude yako sijui "KBTFH"I hope next game Willian hatoanza aisee. Akitaka kuanza na Willian basi awaweke Hazard Pedro Willian pamoja.
Hiki kikosi changu kingeshinda hii matchKwa maoni yangu mimi kule nyuma ingekuwa hivi
Rudiger, christiensen, aspiliqueta
Then alonso,luiz,bakayoko,moses
Halafu mbele namaliza na
Hazard, batshuay,pedro
Hapa tutakuwa salama mengine tumuachie conte ila mimi ningepanga hivyo kikosi changu
Wamefauka hao, sio wa kuwachukulia seriousMsimu uliopita mlipoteza mechi 5.
[HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG] [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]Mkuu andika yale madude yako sijui "KBTFH"
Mi nadhani kama alivosema mdau hapo awali kuwa kama tutaendelea hv bas ubngwa tusahau na tujipange vizur kwa mwakani..Duh kazi kweli kweli hata sijui nisemeje. Hata kama ni kumkosa Kante sio kwa kiwango hiki.
Au mazoezi wachezaji wafanyayo kwenye national teams ni tofauti sana au nini?
Mmepoteza mechi tatu mkuu Barney, man City, crystal palaceChelsea iangalie vizuri isije ikamaliza ikiwa namba 10. Ukifungwa na Palace na Banley maana yake uko weak sana. Msimu uliopita ili kuchukua ubingwa tulipoteza mechi 2 tu. Sasa hata round ya kwanza haijaisha tumeshapoteza mechi mbili na drop moja. Kiukweli we are not among the tittle contenders kutokana na matokeo ya leo.
Bila Morata na Kante leo kikosi kimekuwa kibaya kuliko hata Arsenal.