ngikangalu
Senior Member
- Aug 16, 2017
- 153
- 110
Wachambuzi wa soka ktk ligi ya uingereza wanamheshimu conte kuwa ni kocha wa mbinu nyingi MNO za kimpira, atafanya marekebisho ya kimfumo tu na timu itaperform vizuri ktk mechi zinazokuja.
Kumbuka last season, tulifungwa na Liverpool darajani, tulifungwa na asernal, tulipigwa na spurs na tulipigwa na Man united, mbona tulitulia na tukachukua UK premier league.
Kumbuka last season, tulifungwa na Liverpool darajani, tulifungwa na asernal, tulipigwa na spurs na tulipigwa na Man united, mbona tulitulia na tukachukua UK premier league.
♂️
