Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Title favourite ni timu inayopewa nafasi kubwa kuchukua/kupigania ubingwa, Kwa England United, City, Liverpool arsenal, Chelsea na sasa Spurs kitendo cha Chelsea kumaliza nafasi ya 10 haimaanishi hawakuwa title favourite . Leicester ilichukua ubingwa na haikuwa title favourite kwa Spain title favourite miaka yote ni Real Madrid vs Barca na Atletico siku hizi , timu haiwezi kumaliza nafasi ya 12 misimu 2 mfululizo halafu iwe title favourite

Back to Chelsea
Last season mlipata advantage ya kutocheza mechi za UCL/Uropa tofauti na msimu huu angalia game mlizocheza baada ya UCL hamjashinda hata moja na performance imekuwa mbovu
Ndo umeongea nini apo... au upo kwenye viti virefu ..
 
Hbr zenu wakuu? Hbr za masiku tele? Nimekua napita mara nyingi kimya kimya lkn hawa Utd fans wanataka niweke kitako na kuanza udadavuzi yakinifu! Nipende tu kusema kwamba kwa sasa Chelsea ktk Epl ndio timu ngumu sn kuliko timu zote ktk EPL! Atakae bisha aweke kitako hapa na mimi tuanze chambua kitu kimoja baada ya kingine
 
Pep Guardiola kadai kumdhibiti Fabregas ndiyo mission yao kubwa katika pambano lao na Chelsea na ndio siri ya ushindi wao mwembamba wa bao moja kwa nunge pale darajani. Amedai kuwa ndiye mchezaji pekee aliyekuwa anamuogopa kwa sababu alishawahi kuwa meneja wake akiwa na Barcelona
 
Hbr zenu wakuu? Hbr za masiku tele? Nimekua napita mara nyingi kimya kimya lkn hawa Utd fans wanataka niweke kitako na kuanza udadavuzi yakinifu! Nipende tu kusema kwamba kwa sasa Chelsea ktk Epl ndio timu ngumu sn kuliko timu zote ktk EPL! Atakae bisha aweke kitako hapa na mimi tuanze chambua kitu kimoja baada ya kingine
Timu ngumu? Mind the gap
 
Hbr zenu wakuu? Hbr za masiku tele? Nimekua napita mara nyingi kimya kimya lkn hawa Utd fans wanataka niweke kitako na kuanza udadavuzi yakinifu! Nipende tu kusema kwamba kwa sasa Chelsea ktk Epl ndio timu ngumu sn kuliko timu zote ktk EPL! Atakae bisha aweke kitako hapa na mimi tuanze chambua kitu kimoja baada ya kingine

Nadhan mnachotakiwa kujua kuwa chelsea ni timu inayojua kutafuta ubingwa hilo mtarithibisha mwakan mwenz wa 5

Acha kuchimba mkwara watu..timu ni mbovu sana..wachezaji wanakaza tu ili kumbeba kocha asifikuzwe kaz mapema japo kufikia january atakuwa ameshatimuliwa tayar...kocha gan hata hajui kucheza na sub sahihi pale timu inapokamatika..angalia game ya jana na ile game ya marudio na man u..ndo utajua huyo jamaa mwaka jana alibahatisha tu..wababe walikuwa wanatengeneza timu sasa hana chake...timu unatengeneza kumzunguka mchezaj mmoja hazard..akishikwa kwisha...timu inafungwa na arsenal timu isiyo na umoja...alafu mnasema timu ngumu..game kama tisa tu mfululizo wachezaji wanahema kama punda...na bado kuna kpind cha kucheza mechi tatu kwa wiki...et kwa kibur anamtema costa, alafu mnadai atachomoka acheni masihara
 
Hbr zenu wakuu? Hbr za masiku tele? Nimekua napita mara nyingi kimya kimya lkn hawa Utd fans wanataka niweke kitako na kuanza udadavuzi yakinifu! Nipende tu kusema kwamba kwa sasa Chelsea ktk Epl ndio timu ngumu sn kuliko timu zote ktk EPL! Atakae bisha aweke kitako hapa na mimi tuanze chambua kitu kimoja baada ya kingine
Hongera Mkuu,

Hata mie mawasubili....
 
Acha kuchimba mkwara watu..timu ni mbovu sana..wachezaji wanakaza tu ili kumbeba kocha asifikuzwe kaz mapema japo kufikia january atakuwa ameshatimuliwa tayar...kocha gan hata hajui kucheza na sub sahihi pale timu inapokamatika..angalia game ya jana na ile game ya marudio na man u..ndo utajua huyo jamaa mwaka jana alibahatisha tu..wababe walikuwa wanatengeneza timu sasa hana chake...timu unatengeneza kumzunguka mchezaj mmoja hazard..akishikwa kwisha...timu inafungwa na arsenal timu isiyo na umoja...alafu mnasema timu ngumu..game kama tisa tu mfululizo wachezaji wanahema kama punda...na bado kuna kpind cha kucheza mechi tatu kwa wiki...et kwa kibur anamtema costa, alafu mnadai atachomoka acheni masihara


Costa ndio nani? Km Costa mchezaji mzuri kwnn msinge mchukua? Unavo msiliba Conte inaonyesha ni kiasi gani alivo kocha bora! Km msimu uliopita unaweza kuniambia ni timu iliyoongoza kuanzia mwezi wa kumi mpk ling kuisha ilichatisha tu?
 
Acha kuchimba mkwara watu..timu ni mbovu sana..wachezaji wanakaza tu ili kumbeba kocha asifikuzwe kaz mapema japo kufikia january atakuwa ameshatimuliwa tayar...kocha gan hata hajui kucheza na sub sahihi pale timu inapokamatika..angalia game ya jana na ile game ya marudio na man u..ndo utajua huyo jamaa mwaka jana alibahatisha tu..wababe walikuwa wanatengeneza timu sasa hana chake...timu unatengeneza kumzunguka mchezaj mmoja hazard..akishikwa kwisha...timu inafungwa na arsenal timu isiyo na umoja...alafu mnasema timu ngumu..game kama tisa tu mfululizo wachezaji wanahema kama punda...na bado kuna kpind cha kucheza mechi tatu kwa wiki...et kwa kibur anamtema costa, alafu mnadai atachomoka acheni masihara
Hahaha aiseeee kumbe JF kuna watu wana reasoning ya hali ya chini kama wewe eti Conte mbovu kwa mifano miwili uliyotoa hapo mmoja wa mechi ya jana mwengine wa mechi ya msimu uliopita,yaani kabisa umeona hizo ndo points za kuja nazo hapa kutuaminisha kuwa Conte mbovu that's typical madness mkuu.Huyo Conte unaesema mbovu kaweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kushinda ubingwa wa EPL kwa kushinda mechi 30 kati ya mechi 38.Mourinho wako alipigwa 4-0 na Conte unaesema mbovu akapigwa tena 1-0,hao Man City chini ya Guardiola walipigwa nje ndani na Conte last season Conte akaweka tena historia ya kuwa kocha wa kwanza kumfunga Guardiola mechi mbili za Ligi ndani ya msimu mmoja tangu aanze kazi ya ukocha still unasema Conte mbovu,hao Arsenal unaosemea wamemfunga Conte wewe walikupiga 2-0 Emirates na Old Trafford mkasuluhu kwahiyo wamevuna point nne kwako.Na pia uangalie katika mechi saba za Chelsea kwenye Ligi hadi sasa kashacheza na Spurs,Arsenal na Man City wewe umecheza na nani wa level hizo? vile vile unaposemea swala la Costa lazima uwe umei study scenario nzima hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu Chelsea wameondoka mihimili ya timu wakina Cech,Terry,Lampard,Drogba na bado timu imeendelea kusonga mbele who the fvck is Costa hadi awe juu ya timu.Sir Alex Ferguson aliwatimua Roy Keane na David Beckham walivyoanza kujifanya jeuri pale Old Trafford unajua kwanini? simply no player is bigger than the club.
 
Ligi jamani bado mbichi kabisa.
Man u wazuri, City wazuri, Chelsea na spur wazuri. Ila tujue tu kuwa kutetea title ya EPL since 2009 imekuwa ni ngunu sana. Ukishachukua title mwaka unaofuata unakuwa teja. Mimi Chelsea ikipigania kubaki championship nitaridhika. Wapiganie tu kubeba vikombe vingine ikiwemo UEFA
 
Hahaha aiseeee kumbe JF kuna watu wana reasoning ya hali ya chini kama wewe eti Conte mbovu kwa mifano miwili uliyotoa hapo mmoja wa mechi ya jana mwengine wa mechi ya msimu uliopita,yaani kabisa umeona hizo ndo points za kuja nazo hapa kutuaminisha kuwa Conte mbovu that's typical madness mkuu.Huyo Conte unaesema mbovu kaweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kushinda ubingwa wa EPL kwa kushinda mechi 30 kati ya mechi 38.Mourinho wako alipigwa 4-0 na Conte unaesema mbovu akapigwa tena 1-0,hao Man City chini ya Guardiola walipigwa nje ndani na Conte last season Conte akaweka tena historia ya kuwa kocha wa kwanza kumfunga Guardiola mechi mbili za Ligi ndani ya msimu mmoja tangu aanze kazi ya ukocha still unasema Conte mbovu,hao Arsenal unaosemea wamemfunga Conte wewe walikupiga 2-0 Emirates na Old Trafford mkasuluhu kwahiyo wamevuna point nne kwako.Na pia uangalie katika mechi saba za Chelsea kwenye Ligi hadi sasa kashacheza na Spurs,Arsenal na Man City wewe umecheza na nani wa level hizo? vile vile unaposemea swala la Costa lazima uwe umei study scenario nzima hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu Chelsea wameondoka mihimili ya timu wakina Cech,Terry,Lampard,Drogba na bado timu imeendelea kusonga mbele who the fvck is Costa hadi awe juu ya timu.Sir Alex Ferguson aliwatimua Roy Keane na David Beckham walivyoanza kujifanya jeuri pale Old Trafford unajua kwanini? simply no player is bigger than the club.
Ndugu hata Costa angekuwepo, upinzani kwenye EPL msimu huu ni tofauti na mwaka jana. Msimu uliopita Manchester teams zilikiwa so weak. Msimu huu wamefanya usajili mzuri kwa hiyo itakuwa kawaida kwa Chelsea kupata upinzani mkubwa na saa nyingine kupigwa kumbo kwenye mbio za ubingwa
 
Hahaha aiseeee kumbe JF kuna watu wana reasoning ya simply no player is bigger than the club.
Unajifanya kuficha ujinga kwa outdated record...mi siwez kukujibu kwa sasa....nahfadhi huu ujuaji wako ili nije mkuzime vizur na chealsea yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom