Naona unarukaruka tu,
Sihitaji kuambiwa na mtu kuwa Valencia sio title favourite kwenye la liga nafuatilia La Liga,Serie A &EPL
Kama unafuatilia La Liga halafu unasema Valencia ni title favourite ni bora uache kabisa kuifuatilia , So hata Qarabac ilikuwa ni big match ? Arsenal miaka yote ni kibonde wa Chelsea
Last season Chelsea walikuwa hawachezi Jummane/Jumatano walikuwa wanapumzika unlike others competitors wenzake so ilikuwa ni advantage kwao
Naona umejiunga JF juzi hata miezi 2 hujafikisha endelea kujifunza kujenga hoja.