Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_2437.jpg
 
hivi kwanini willian asiwe anatumika kama midfielder??????????????
maana hata alivokuwa shaktar donetsky alikuwa anacheza middle,
kwanini conte asimbadilishe akawa anatokea middle ya chini as coutinho anavocheza nowdays pale liver???????
kante injury, drink water/beer injury so we are insufficient in midfield only two available[bakayoko+fabregas]
na fabregas nae sikuhizi kachoka hana pace anasubiri tu apige pass za mwisho.
 
hivi kwanini willian asiwe anatumika kama midfielder??????????????
maana hata alivokuwa shaktar donetsky alikuwa anacheza middle,
kwanini conte asimbadilishe akawa anatokea middle ya chini as coutinho anavocheza nowdays pale liver???????
kante injury, drink water/beer injury so we are insufficient in midfield only two available[bakayoko+fabregas]
na fabregas nae sikuhizi kachoka hana pace anasubiri tu apige pass za mwisho.
Conte kasema atakuwa akimtumia Luiz kama kiungo pia pale itakapo hitajika kufanya hivyo kwa wakati huu ambao Kante na Drinkwater hawapo hivyo anahesabu kama ana viungo watatu.
 
Conte kasema atakuwa akimtumia Luiz kama kiungo pia pale itakapo hitajika kufanya hivyo kwa wakati huu ambao Kante na Drinkwater hawapo hivyo anahesabu kama ana viungo watatu.

LUIZ mzuri sana ila sometime anakuwa na temper leading early panicking, ila akitulia ni bonge moja la msaada kwa team both deFensively and in the middle
im a huge fan of DAVID LUIZ.
ALL WE NEED IS WIN.
 
mkuu, mechi za october zote soft maybe champions league vs as roma but nayo laini.
so uhakika wa kushinda ni 98%.
cheers us through the sun and rain.
KTBFFH.
hamna mechi soft kwenye ligi chochote kinaweza kutokea kumbukumbu nzuri mechi dhidi ya burnley ambayo ilionekana nyepesi kwetu tukafungwa tena nyumbani na ile ya tottenham ambayo ilionekana ndiyo ngumu kwetu tukashinda anyway tuombe mambo yawe mazuri kwetu.
 
LUIZ mzuri sana ila sometime anakuwa na temper leading early panicking, ila akitulia ni bonge moja la msaada kwa team both deFensively and in the middle
im a huge fan of DAVID LUIZ.
ALL WE NEED IS WIN.
Hilo ndiyo tatizo lake kubwa sana kukamia na kukaa sana na mpira lakini kama angeweza kuimprove sector hizo mbili ambazo kutokana na umri wake sidhani kama ata improve tena angekuwa moja kati ya mabeki wa kati bora kabisa duniani na hata nafasi yake timu ya taifa isingekuwa mashakani mara kwa mara.
 
Hilo ndiyo tatizo lake kubwa sana kukamia na kukaa sana na mpira lakini kama angeweza kuimprove sector hizo mbili ambazo kutokana na umri wake sidhani kama ata improve tena angekuwa moja kati ya mabeki wakati bora kabisa duniani na hata nafasi yake timu ya taifa isingekuwa mashakani mara kwa mara.


jamaa anakuwaga na temper za kitoto,
ila nimefurahi kuona conte anaanza kuwaamini makinda. hasa leo alivokuwa anaongea kwenye press.
 
Wakuu mechi za mwezi huu zote ni kushinda tu hakuna namna...inatakiwa turudi kwenye nafasi yetu
Ni kweli hatuna match kubwa kihivyo sema shida ni batshuay kama yuko tayari kutufungia magoli
Aache kujilegeza apambane na mabeki kugombania mpira na azitumie nafasi azipatazo kwa usahihi
Hiyo ndio tofauti yake na morata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom