Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tulicheza chini ya kiwango KBS, timu haishambulii KBS, hasa alipotoka morata, William, bakayoko, faregas na kante, walishindwa KBS kuhold mipira katikati. Tukufa katikati, kwa hali ilivyo SASA, tuna kazi ngumu sana msimu huu kutetea ubingwa WETU.
 
Amn kitu City na wakikutana na timu yenye beki nzur na inashambulia kama Man UTD anapigwa nyng tuu....

Tatuzo la Conte maufund mengi, Morata ameshaumia sasa fab unamuach anamchezesha nan.....

Na kisa cha kumuacha Pedro na Moses ni nn, Na Zappacosta alisajiliwa aje kula kishoka Chelsea au...??
Chelsea recorded lowest home possession since 2003/4 season...does it ring any bell?
 
Amn kitu City na wakikutana na timu yenye beki nzur na inashambulia kama Man UTD anapigwa nyng tuu....

Tatuzo la Conte maufund mengi, Morata ameshaumia sasa fab unamuach anamchezesha nan.....

Na kisa cha kumuacha Pedro na Moses ni nn, Na Zappacosta alisajiliwa aje kula kishoka Chelsea au...??
Yani hata sijamuelewa Leo Conte....

Blue's Yangu jamani...
 
Ollachuga,kimario,kunguru mjanja,mentor,fabro na kalou poleni sana hayo ni matokeo mmekutana wote ma-giant wamepata nafas moja wameitumia pia kuna meseji toka kwa chelsea fans.

Well after a terrific outing in the Champions League I'm afraid it was back to Premier League reality with the wrong kind of bang. Poor from start to finish, we had absolutely nothing left. Bakayoko and Fabregas should have stayed at home. And when Willian came on he also did nothing. Once again Azpi, Kante and Hazard the only ones who showed up today and tried to have an influence on the game. Very clever from City to press high up the pitch, great tactics. Very poor performance from us but we go into the international break now so hopefully we can come back and go on another run. Never stop fighting! Forever a Blue
 
Be serious mkuu. Gari la mkaa mechi saba kashinda 6! Mbili kati ya hizo kawafunga top four giants...
Kumbuka msimu uliopita alishinda mechi ngapi baadae ikawaje.kwanza leo ametufunga kibahati tu.timu imetoka kucheza mechi ngumu UEFA.imechoka.
 
Kumbuka msimu uliopita alishinda mechi ngapi baadae ikawaje.kwanza leo ametufunga kibahati tu.timu imetoka kucheza mechi ngumu UEFA.imechoka.

Mkuu kuwa mwanamichezo ule mpira sio wa kibahati city alikuwa bora sana kila idara leo leo viungo wenu hawakufanya kazi vizur hasa willian

Pia kwa upande wangu sikuona mantik ya kumtoa hazard mana uwepo wake ulitosha kuua namba mbili yangekuwa yanaogopa kupanda alipotoka city wakawa free sana
 
Mkuu kuwa mwanamichezo ule mpira sio wa kibahati city alikuwa bora sana kila idara leo leo viungo wenu hawakufanya kazi vizur hasa willian

Pia kwa upande wangu sikuona mantik ya kumtoa hazard mana uwepo wake ulitosha kuua namba mbili yangekuwa yanaogopa kupanda alipotoka city wakawa free sana
Alietakiwa kutoka ni fab tena mapema tu baada ya morata kuumia.
 
Chelsea recorded lowest home possession since 2003/4 season...does it ring any bell?
What bell by the way?remember this is City its not Crystal Palace,Chelsea ain't going to play such a way against other teams in the league simply because they don't have that quality to keep possession as City do.
 
Alietakiwa kutoka ni fab tena mapema tu baada ya morata kuumia.

Kweli mkuu ile sub ya hazard haikuwa sahihi ukimtoa mchezaji anaeogopwa hata kama hajawa kwenye fom ushawapa credit wangine hazard zile movement zake ziliwapa shida sana mabek alichezewa faulo nyingi ambazo zingewaghalimu city pia walikuwa hawapand sana ukiangalia kabla hawajamtoa alipotoka tu city wakawa bora zaidi.
 
Kweli mkuu ile sub ya hazard haikuwa sahihi ukimtoa mchezaji anaeogopwa hata kama hajawa kwenye fom ushawapa credit wangine hazard zile movement zake ziliwapa shida sana mabek alichezewa faulo nyingi ambazo zingewaghalimu city pia walikuwa hawapand sana ukiangalia kabla hawajamtoa alipotoka tu city wakawa bora zaidi.
Ni kweli unayosema mkuu ukweli kuwa Conte alifeli kuanzia upangaji mpaka sub zake nilikuwa nimeshika tama mda wote nikijua kufungwa leo kupo City wamecheza vizuri sana wanastahili ushindi
Kule nyuma sikuona hata cahil amecheza nini mda wote namuona rudiger na christensen kitambaa kinambeba tukubali ukweli
 
Hapana kocha mwenyewe uoga wake kupanga mabeki wengi
Tatizo lenu ni ubishi nakujifanya mnajua sana, alichoongea huyo rent boy mwenzio ni sahihi kabisa, angalia mechi mlizocheza baada ya wiki ya uefa mmeshinda ipi!? Au nikujitia upofu tu
7ceb0870dbf81c9cf81731d157511fd0.jpg
 
Ni kweli unayosema mkuu ukweli kuwa Conte alifeli kuanzia upangaji mpaka sub zake nilikuwa nimeshika tama mda wote nikijua kufungwa leo kupo City wamecheza vizuri sana wanastahili ushindi
Kule nyuma sikuona hata cahil amecheza nini mda wote namuona rudiger na christensen kitambaa kinambeba tukubali ukweli
Cahil .... !!!

Hata kumsikia sitaki kabisa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom