Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Take nothing from City today, tactically superior, technically in their own league-Andy Townsend
 
Mara moja moja muangalie mpira kitaalamu na si kishabiki. Leo mmezidiwa,City wako vizuri sidhani kama kuba timu ingeweza kuwazuia leo kwa kiwango hiki.

Im disappointed, I wanted a draw!
Man City ni timu ya kuangaliwa msimu huu, wewe shabiki wa Man U ukiangalia fixtures zenu so far za msimu huu ukilinganisha na fixtures za Man city utakuwa UMENIELEWA, ...
 
Mara moja moja muangalie mpira kitaalamu na si kishabiki. Leo mmezidiwa,City wako vizuri sidhani kama kuba timu ingeweza kuwazuia leo kwa kiwango hiki.

Im disappointed, I wanted a draw!
Tungeweza kama tungepanga timu tofauti. Defence ya City is not the best wanasaidiwa na attacks. Tulitakiwa kupanga kikosi tofauti.

Kama kocha aliamua kuanza na Fabregas basi Morata alivyotoka tu, ningemtoa Fabregas next. It is time to get back to our normal squad.
 
May B Conte alichelewa kubadilisha timu mapema ,lakini najua Conte ni kocha anayejua kujifunza kutokana na makosa..
KTBFFH
 
Man City ni timu ya kuangaliwa msimu huu, wewe shabiki wa Man U ukiangalia fixtures zenu so far za msimu huu ukilinganisha na fixtures za Man city utakuwa UMENIELEWA, ...
City wako vizuri sana.
 
City wako vizuri sana.
Amn kitu City na wakikutana na timu yenye beki nzur na inashambulia kama Man UTD anapigwa nyng tuu....

Tatuzo la Conte maufund mengi, Morata ameshaumia sasa fab unamuach anamchezesha nan.....

Na kisa cha kumuacha Pedro na Moses ni nn, Na Zappacosta alisajiliwa aje kula kishoka Chelsea au...??
 
Daaah so sad ...ila so mbaya maana hawa man city usipokuwa makin unaeza pigwa tano ...assume aguero angekwepo. ...daah hali ndo ingekuwa mbaya zaid

Yote matokeo tu ..me naamini CONTE huwa anajifunza kutokana na matokeo.

Tumejitahidi kwa namna moja au nyingine japo tume difens sana, labda kutokana na timu tuliyokutana nao.

So mbaya yote sawa.
 
Tungeweza kama tungepanga timu tofauti. Defence ya City is not the best wanasaidiwa na attacks. Tulitakiwa kupanga kikosi tofauti.

Kama kocha aliamua kuanza na Fabregas basi Morata alivyotoka tu, ningemtoa Fabregas next. It is time to get back to our normal squad.
Conte alikosea kidogo kwenye kwenye kikosi leo, lakini Conte ni mtu wa kujifunza, ..
 
Nafikiri tulistahili hata sare
Ila nafikiri sio mbaya
Goli halina wa kumlaumu sana ni makosa yamefanya tufungwe na pia nilishangazwa kidogo na aspi kucheza namba ya Moses wakati mwenyewe yuko poa kabisa
Hapa alituma ujumbe kwa city kuwa hana mpango wa kushambulia
Yote kwa yote tumelost
Aluta continua
Ligi ni ndefu tutajua mbele ya safari
Kwenye Uefa usikabe sana wacha team ifunguke conte
 
Mkuu hawa mancity ukijifanya unafungukafunguka hawachelewi kukufunga 5-0

Kaka yaani leo timu imeingia kutafuta sululu, shida ni kuwa ukiteleza tu unachapwa, utawekaje mabeki watano, Cahil, Chriss, Rud, Azip na Alonso, kisha unaweka mid watatu Fab, Baka na kante, hapo tayari tulishakiwa tumejipanga na defensive game na matokeo ndio hayo tukiyoyapata

Kwa mpira kama huu wa leo, ubingwa wa EPL tusahau, wala tusijisumbue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom