lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,201
- 28,087
Tulinde goli?Tafuteni droo tu inatosha kwa leo
Tulinde goli?Tafuteni droo tu inatosha kwa leo
Hili tatizo alilipata juzi kwenye mechi na Atletico alivotoka tu uwanjani alishindwa kutembeaItakuwa amepata tatizo la misuli
Leo tumefeli kwa hizi mbinuDuh aisee...wing ya Alonso ile????
Na sidhani kama kumuweka Azpilicueta alipomuweka ametusaidia. Tulitakiwa tuwe na watu wawili wenye speed upande huo.
Hapana kocha mwenyewe uoga wake kupanga mabeki wengiMechi ya atletico inatucost sna nhs hila yote lazma nitupate point nyumban
Mkuu hawa mancity ukijifanya unafungukafunguka hawachelewi kukufunga 5-0Dah, kwa mpira huu wa kujihami namna hii sijui kama tutaweza kufika mbali, timu haishambulii hata kidogo, timu imejaa mabeki na viungo
Kwa masikitiko nakubaliana na weweHapana kocha mwenyewe uoga wake kupanga mabeki wengi