mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,791
Tuna vunja mwiko Leo.tuna muua pep.Wachambuzi wengi wa leo wameshikwa woga na wengi wameishia kutabiri match ya leo baina ya chelsea vs man city kuwa itaisha kwa sare
Sio wao tu hata wazee wa kubeti wanachezea sare tu match ya wakubwa hawa
Na mimi nikiri pia ni match ngumu sana ambayo hata ikiisha sare yatakuwa ni matokeo bora kwa team zote 2
Match ya leo itamkosa aguero na pia itamkosa luiz
Hii ni match inayoamuliwa na wachezaji wazoefu kama watakuwa katika viwango vyao
Kama chelsea fans ningependa kuona wakishinda
Kiukweli ni match ngumu mno ila
Naamini kama ushindi ukikosekana basi sare pia itakuwa ni matokeo halali kabisa