Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,725
- 3,516
Mkuu ulitqka apange ...?Kwa hii team aliopanga conte leo kushinda ni bahati
Mkuu ulitqka apange ...?Kwa hii team aliopanga conte leo kushinda ni bahati
Leo uteja umeisha.....though tumekosa Magoli kama 3 ivi.....ya Hazard liligonga post.....aliyopiga kichwa Morata na ya Faby aliyoshindwa kusukuma kwa mguuu tu.....muhimu point 3.sio kwamba haiwezekani bali timu yetu imekuwa inapata shida sana inapokutana na atletico kumbuka tunamecheza nao mara nne hatujabahatika kuondoka na point 3
Kante leo kacheza kama attacking akamuacha Bakayoko nyuma. Nadhani hili Atletico hawakulitarajia...limewaharibia mipango yao.simeoni pole sana tulikuzidi mahali angalia hapa viungo bakayoko,kante,hazard,fabrigas








Bip up mshabiki hatakiwi kukata tamaa....!!! Mpira dakika 90Kikosi kizuri kilichopangwa nilitarajia kocha apange hivi timu imecheza vizuri mistake za luiz tu ila ushindi nahamini upo hapa
KabisaInabidi aundiwe tume.kama amechoka atuambie.
Kijana kaonesha perfomance na skills zake. Hiyo ndo maana yangu.![]()
![]()
![]()
.makanzu tu.hauoni magoli?ana goli 7.EPL na uefa.