Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

44C1605900000578-4922734-image-a-5_1506470259288.jpg


Dailymail wanabashiri vikosi hivi kesho...
Kikosi hapo toa Cahil tu weka Rudiger. Moses mwache aanze ila dk ya 60 weka Zappacosta.
 
Walau huyu ana uhakika wa kucheza...na anawajua A. Madrid vyema maana kacheza nao misimu miwili kama sikosei

44B9EF8600000578-4920498-image-m-18_1506417451279.jpg
Bado najiulizaa mkuu hivi hii ni mechi rahisi kwetu Chelsea au ni mechi ngumu kwao Atletico Madrid ?: Wanda Metropolitano
...
Leo ndio tunataka kujua Nani anamzuka zaidi ya mwenzake, Ni Conte au ni Simeone Nani ni mshangiliaji bora, Nani ni mchezaji bora kwenye touch line zile za Wanda Metropolitano. Ndio baadae tuwaandike hazard na Carasco....
 
Bado najiulizaa mkuu hivi hii ni mechi rahisi kwetu Chelsea au ni mechi ngumu kwao Atletico Madrid ?: Wanda Metropolitano
...
Leo ndio tunataka kujua Nani anamzuka zaidi ya mwenzake, Ni Conte au ni Simeone Nani ni mshangiliaji bora, Nani ni mchezaji bora kwenye touch line zile za Wanda Metropolitano. Ndio baadae tuwaandike hazard na Carasco....
Atletico wabovu.tunawapiga Leo.ondoa shaka.wakipona droo.
 
Yan kwa kujiamini nahamisha matokea ya kina ampadu,Starling na Clarke-salter kweny mechi ya saa tatu.,,,
Kama muda wa game ulivyo ndo magoli yangu ya leo...
 
Bado najiulizaa mkuu hivi hii ni mechi rahisi kwetu Chelsea au ni mechi ngumu kwao Atletico Madrid ?: Wanda Metropolitano
...
Leo ndio tunataka kujua Nani anamzuka zaidi ya mwenzake, Ni Conte au ni Simeone Nani ni mshangiliaji bora, Nani ni mchezaji bora kwenye touch line zile za Wanda Metropolitano. Ndio baadae tuwaandike hazard na Carasco....
Na mimi nawait kuona hayo mkuu empire
 
Kwa hii match beki zangu ni luiz,aspiliqueta,rudiger au christiensen cahil tupa kule
Cahili hawwezi kuachwa katika mechi kubwa kama hii. Na sijui mnaomponda mnatumia statistics gani? Mfatilie vizuri
Kwa hii match beki zangu ni luiz,aspiliqueta,rudiger au christiensen cahil tupa kule
 
sio kwamba haiwezekani bali timu yetu imekuwa inapata shida sana inapokutana na atletico kumbuka tunamecheza nao mara nne hatujabahatika kuondoka na point 3
Katika mechi 5 wameshinda 2 tumedroo 2 na win 1. Si watu wa kuogopwa Wala si wa kubeza. Tunatoshana nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom