Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Diego-Costa9.jpg



USIYEMPENDA KARUDI.

Costa kumalizana na Chelsea & Kurudi kwenye first team haraka iwezekanavyo.


Costa has come to terms with the fact that he does not have a legal case with his current employers, and recognises that he may have no choice but to return to the club and attempt to make peace with Antonio Conte.
Aende huko china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno ya Shukrani ya DrinkWater kwa Washabiki wake.

Kupata mafanikio tuliyoyapata na Leicester city iikuwa ni maajabu, itakuwa kumbukumbu yangu ya milele. Haikuwa rahisi kwangu. Kulikuwa na changamoto nyingi mno kufikia mafanikio hayo, lakini watu wa karibu yangu walinisaidia na hili sintalisahau kamwe.

Ilikuwa uamuzi mgumu sana kwangu kuondoka, lakini binafsi niliona ni wakati muafaka kwangu kufanya hivyo. Ukishapata mafanikio makubwa kama tuliyoyafikia pamoja na wenzangu, inaleta chachu – unahitaji kuyapata mafanikio kama hayo sehemu nyingine pia na hii niliona ndiyo fursa pekee kwangu kutimiza ndoto hiyo.

Huwezi kujua fursa huja mara ngapi maishani kwako, kwangu mimi niliona hii ni fursa pekee na ilikuwa vigumu kuiacha ipite.

(Maneno haya yamenigusa sana - karibu darajani Jembe jipya) -

Its now chance to see our dream combination with N'Golo Kante.

Screen-Shot-2016-02-09-at-12.25.16-1000x600.png
Maneno yenye nguvu kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kylian hajasajiliwa Chelsea kwa sababu ya uwezo alio nao, kasajiliwa kwa sababu Eden kamuombea kwa kocha na Chelsea tunafight kumkeep Eden.
Eden is a family man, kumleta mdogo wake London means so much to him, we have a delived demand kwa kylian, lengo ni kumkeep Eden
Yote kwa yote dogo ni hatari tumpe mwaka 1
Hapo Darajani watampandisha wenyewe
Ana nguvu ana mbio ana chenga ana funga anatoa pass yaani ana kila kitu
 
Hamna namna lzm Costa apigiwe magoti arudi
Morata hawezi kukupa hata CL football
 
Ki ukweli Hajambahatisha Arsenal isipokuwa Liver ni timu inayokamia timu kubwa tu, lakini akikutana na timu ndogo anakuwa tete tu
eti liver anakamia timu kubwa upuuzi mtupu kwanini hizo timu kubwa nazo zikikutana na liver wasikamie?
 
Maneno ya Shukrani ya DrinkWater kwa Washabiki wake.

Kupata mafanikio tuliyoyapata na Leicester city iikuwa ni maajabu, itakuwa kumbukumbu yangu ya milele. Haikuwa rahisi kwangu. Kulikuwa na changamoto nyingi mno kufikia mafanikio hayo, lakini watu wa karibu yangu walinisaidia na hili sintalisahau kamwe.

Ilikuwa uamuzi mgumu sana kwangu kuondoka, lakini binafsi niliona ni wakati muafaka kwangu kufanya hivyo. Ukishapata mafanikio makubwa kama tuliyoyafikia pamoja na wenzangu, inaleta chachu – unahitaji kuyapata mafanikio kama hayo sehemu nyingine pia na hii niliona ndiyo fursa pekee kwangu kutimiza ndoto hiyo.

Huwezi kujua fursa huja mara ngapi maishani kwako, kwangu mimi niliona hii ni fursa pekee na ilikuwa vigumu kuiacha ipite.

(Maneno haya yamenigusa sana - karibu darajani Jembe jipya) -

Its now chance to see our dream combination with N'Golo Kante.

Screen-Shot-2016-02-09-at-12.25.16-1000x600.png



huyu jamaa mpambanaji sana, hawa ndo watu wanaotakiwa wenye moyo wa kupambana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom