Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kylian hajasajiliwa Chelsea kwa sababu ya uwezo alio nao, kasajiliwa kwa sababu Eden kamuombea kwa kocha na Chelsea tunafight kumkeep Eden.
Eden is a family man, kumleta mdogo wake London means so much to him, we have a delived demand kwa kylian, lengo ni kumkeep Eden
Ni kwel mkuu sabab kwa Thorgan Hazard ilishindikana basi tunajaribu na kwa Kylian Hazard kama ataweza kusustain na kukidh vigezo....,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reasoning ya kawaida ni kwamba Kylian is 22, he is Hazard, jina popular kwny mpira europe kwa sababu ya Eden and somehow Trojan. Jina pekee linampa platform kutokana na vipaji vya familia obvious scouts kadhaa wamemuangalia. Mpaka kafika age iyo hakuna timu hata ya daraja la pili england au any average club ulaya magharibu iliyowahi kumsajili ka ana potential? Unakumbuka competition ya kumsajili van ginkel?
 
Alafu kylian ni kipaji ila hao wamelelewa chesea toka wakiwa miaka 12... Kylian namfanansha na akina Denim Nnamudi, ila Denim amewahiwa tuu....,,,

Sent using Jamii Forums mobile app

Mchezaji ka Musonda alikua anawaniwa na Real madrid, barca, man U na arsenal when he was only 15, van ginkel tumenunua kwa zaidi ya pound milioni miaka mitatu ivi iliyopita
Na Musonda nae ni attacking midfielder ka Kylian, do u think Kylian will even be as good as him?
 
Ni kwel mkuu sabab kwa Thorgan Hazard ilishindikana basi tunajaribu na kwa Kylian Hazard kama ataweza kusustain na kukidh vigezo....,,,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sure bro, throjan anafanya vizuri now Borrusia Ka umemfuatilia, me nimemuona game ka 6 msimu uliopita 2 zikiwa za Champions league, ni regular 1st 11 ka ilivyokua Christensen last 2 seasons
 
Mchezaji ka Musonda alikua anawaniwa na Real madrid, barca, man U na arsenal when he was only 15, van ginkel tumenunua kwa zaidi ya pound milioni miaka mitatu ivi iliyopita
Na Musonda nae ni attacking midfielder ka Kylian, do u think Kylian will even be as good as him?
Yan musonda usimuongelee kabisa sababu hiyo ni mashine....
Inaelewek but Van ginkel ana uzoefu na Elimu ya mpira na hata sku moja usije tegemea van ginkel kurudi chelsea na kupata namba... Mi naamini kylian ata improve mpaka utashanga sabab ya reinforcement ilo nyuma yak na favour kibao....,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kylian hajasajiliwa Chelsea kwa sababu ya uwezo alio nao, kasajiliwa kwa sababu Eden kamuombea kwa kocha na Chelsea tunafight kumkeep Eden.
Eden is a family man, kumleta mdogo wake London means so much to him, we have a delived demand kwa kylian, lengo ni kumkeep Eden
Angalia you tube ni hatari sana huyu kylian hazard
 
Perception zimetofautiana kidogo Mugerick, ukiangalia nature ya deal yenyewe utaona kwamba usajili wa kylian ni strategic tu na Chelsea hajawaweka expectations zozote kwake
Player at 22 kuingizwa kwenye delelopment team ni nadra, wangetaka akue wangemtoa kwa mkopo immediately baada ya kumsajili akapate game time, we normally do that kwa players wa age yake, but yeye wamemuacha makusudi tu.
Mwakani walimtoa loan utaona wamempeleka team za London either Crystal palace, AFC Wimbledon, Brentford, QPR, millwall au timu yoyote ndogo ya London
Mimi naamini usajili wake uko hivyo na hata akipandishwa its for the sake of Eden sio yeye,

Btw umemuona Loftus Cheek kwenye game 3 za kwanza za Crystal palace?
 
Perception zimetofautiana kidogo Mugerick, ukiangalia nature ya deal yenyewe utaona kwamba usajili wa kylian ni strategic tu na Chelsea hajawaweka expectations zozote kwake
Player at 22 kuingizwa kwenye delelopment team ni nadra, wangetaka akue wangemtoa kwa mkopo immediately baada ya kumsajili akapate game time, we normally do that kwa players wa age yake, but yeye wamemuacha makusudi tu.
Mwakani walimtoa loan utaona wamempeleka team za London either Crystal palace, AFC Wimbledon, Brentford, QPR, millwall au timu yoyote ndogo ya London
Mimi naamini usajili wake uko hivyo na hata akipandishwa its for the sake of Eden sio yeye,

Btw umemuona Loftus Cheek kwenye game 3 za kwanza za Crystal palace?
Ya loftus kafany vizur ila yeye huw mara nying anatumika kama central au back midfielder so hatuwez mcompare na kylian, japo loftus saiv ni majeruhi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi huu si wa mchezo mchezo....

aaaccb6a566500a241c63877cfb1499d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coutihno kasepa kwenda wapi?
Mm nimechukua Champion League ktk modern football!
Chelsea wachezaji wameishtukia kama ni team ya familia sio taasisi
OX kaikataa
Barkley jana kaikataa
Llorient jana kaikataa
Team itakuwa ya 10 mwaka huu
Morata hawezi kukua CL football
Sawa mkuu. Hata mwaka jana ulisema ivo ivo.....lakini cha moto ukakiona. Subiri muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diego-Costa9.jpg



USIYEMPENDA KARUDI.

Costa kumalizana na Chelsea & Kurudi kwenye first team haraka iwezekanavyo.


Costa has come to terms with the fact that he does not have a legal case with his current employers, and recognises that he may have no choice but to return to the club and attempt to make peace with Antonio Conte.
 
Maneno ya Shukrani ya DrinkWater kwa Washabiki wake.

Kupata mafanikio tuliyoyapata na Leicester city iikuwa ni maajabu, itakuwa kumbukumbu yangu ya milele. Haikuwa rahisi kwangu. Kulikuwa na changamoto nyingi mno kufikia mafanikio hayo, lakini watu wa karibu yangu walinisaidia na hili sintalisahau kamwe.

Ilikuwa uamuzi mgumu sana kwangu kuondoka, lakini binafsi niliona ni wakati muafaka kwangu kufanya hivyo. Ukishapata mafanikio makubwa kama tuliyoyafikia pamoja na wenzangu, inaleta chachu – unahitaji kuyapata mafanikio kama hayo sehemu nyingine pia na hii niliona ndiyo fursa pekee kwangu kutimiza ndoto hiyo.

Huwezi kujua fursa huja mara ngapi maishani kwako, kwangu mimi niliona hii ni fursa pekee na ilikuwa vigumu kuiacha ipite.

(Maneno haya yamenigusa sana - karibu darajani Jembe jipya) -

Its now chance to see our dream combination with N'Golo Kante.

Screen-Shot-2016-02-09-at-12.25.16-1000x600.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom