Utaishia kumpiga arsenal tu ukikutana na mimi nakubomoa malafyaleBado hamyaogopi MAJOGOO?
Jana Lallana na Coutihno hawakuwepo
Anakuja Van Djiik na OX week hii
Wewe nakupiga home and away
MAJOGOO yanachukua ubingwa wao mwezi wa March
Hapa niliishuhudia assist nyingine ya kichwa kutoka kwa morata
hahaha huyu malafyale bwana amembahatisha arsenal anadhani atatupiga na siyeBado hamyaogopi MAJOGOO?
Jana Lallana na Coutihno hawakuwepo
Anakuja Van Djiik na OX week hii
Wewe nakupiga home and away
MAJOGOO yanachukua ubingwa wao mwezi wa March
hahaha huyu malafyale bwana amembahatisha arsenal anadhani atatupiga na siye
Sisi gemu mmoja haitupi ubingwa kama ninyi mlivyozoea. Sisi ni kazi kazi mpaka pointi ya mwisho.
Morata bhana, hapo bado hajaanza kutumia miguu yake.
Bado hamyaogopi MAJOGOO?
Jana Lallana na Coutihno hawakuwepo
Anakuja Van Djiik na OX week hii
Wewe nakupiga home and away
MAJOGOO yanachukua ubingwa wao mwezi wa March










hongera sana
Kwan tulikuita huku kushambikia Chelsea nenda huko liverOYA NYIE MMEONA LIVERPOOL WANAVYOPIGA MPIRA SIO CC TUNALUKALUKA TU NAKI TIMU KAMA EVERTON
Sent using Jamii Forums mobile app