Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Napenda chelsea ikishinda,ila napenda zaidi kuwasikia WACHAMBUZI wakisema kuwa Huddersfield fc watachukua Epl kwa kuwa wameshinda vimechi vya utangulizi


saizi wachambuzi wengi wanazipigia chapuo team za manchester, wakati ukiangalia kuja kufikia december hadi february team za manchester pumzi hukata.
hapo ndipo wenyewe wanajirudi na kuyakataa maneno yao.
Hii CHELSEA ya saizi kaa nayo mbali. Jana nilikuwa namsikiliza hazard akifanyiwa interview kasema major goals/objectives ni kubeba kila makombe tunayo compete coz tuna depth ya kikosi.
 
Napenda chelsea ikishinda,ila napenda zaidi kuwasikia WACHAMBUZI wakisema kuwa Huddersfield fc watachukua Epl kwa kuwa wameshinda vimechi vya utangulizi
Wakumbuke kuwa ata chelsea ya msimu uliopitaa haikupewa top four ...mechi sita za mwanzo msimu uliopita tulisuasua vibaya mpaka wachambuzi wanaongalia matokeo ya wakati uliopo wakamsakama Conte kufukuzwa mapema ....tuliruhusu magoli mengi mechi za kwanza ila kilichofata waliadithia wajuu waoo...

Tumeanza kwa kupoteza ila team iko vizur now kuanzia umoja uwanjan mpaka mazoezii ....na ukiangalia mechi nzuri muhimu ndo tunaanza nazo ....

Keep Chelsea flying forever ....

Mark my replay ... mpaka kufikia xmass tunaongoza ligi
 
b2d76882584f41c12b7fbbaabd246854.jpg

Eden hazard ametengenezewa kiatu special na kampuni ya NIKE
 
Wakumbuke kuwa ata chelsea ya msimu uliopitaa haikupewa top four ...mechi sita za mwanzo msimu uliopita tulisuasua vibaya mpaka wachambuzi wanaongalia matokeo ya wakati uliopo wakamsakama Conte kufukuzwa mapema ....tuliruhusu magoli mengi mechi za kwanza ila kilichofata waliadithia wajuu waoo...

Tumeanza kwa kupoteza ila team iko vizur now kuanzia umoja uwanjan mpaka mazoezii ....na ukiangalia mechi nzuri muhimu ndo tunaanza nazo ....

Keep Chelsea flying forever ....

Mark my replay ... mpaka kufikia xmass tunaongoza ligi
Duuh amuishiwi ndoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakumbuke kuwa ata chelsea ya msimu uliopitaa haikupewa top four ...mechi sita za mwanzo msimu uliopita tulisuasua vibaya mpaka wachambuzi wanaongalia matokeo ya wakati uliopo wakamsakama Conte kufukuzwa mapema ....tuliruhusu magoli mengi mechi za kwanza ila kilichofata waliadithia wajuu waoo...

Tumeanza kwa kupoteza ila team iko vizur now kuanzia umoja uwanjan mpaka mazoezii ....na ukiangalia mechi nzuri muhimu ndo tunaanza nazo ....

Keep Chelsea flying forever ....

Mark my replay ... mpaka kufikia xmass tunaongoza ligi
Ila usahahu kuwa straika wao wa hela nyingi Mounie anatupia hatari, hakuna timu ya kuizua HUDDERSFIELD msimu huu, wenyewe wana msemo wao kuwa we are on fireeeee
 
Hamna namna lzm Costa apigiwe magoti arudi
Morata hawezi kukupa hata CL football
Who is Costa?. Huyo sio mchezani ni mchafusi. Mchezaji gani hana nidhamu. Alitia sumu mpaka Jose akatimuliwa. Conte mtoto wa mjini kamshitukia akamweka pembeni.
Si alikuwepo msimu wa 2016 timu iliponusurika kushuka alikuwepo! Chelsea ni zaidi ya Costa au mchezaji yeyote. Wanakuja na kuondoka bali timu inasalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila usahahu kuwa straika wao wa hela nyingi Mounie anatupia hatari, hakuna timu ya kuizua HUDDERSFIELD msimu huu, wenyewe wana msemo wao kuwa we are on fireeeee
kwani imekutana na wakubwa wa ligi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom