Nafikiri drinkwater anatakiwa acheze namba ya fabrigas fabi yeye ataingia kipindi cha pili kumpokea aliechoka kati ya bakayoko,kante,na drinkwater.
Kante na bakayoko wacheze kama viungo wakabaji
Moses aendelee ila akiboronga tu zappacosta anachukua
Kule mbele hazard wilian morata
Costa ataingia kipindi cha pili kumpokea morata
Pedro atampokea wilian na hazard atapokewa na mdogo wake kylian hazard
Nimeangalia eneo la kukaba na ushambuliaji pamoja na pembeni
Ina maana ulikuwa huamini kama una mchezaji?Morata anakuja kivingine. Hapa tunae Mchezaji
Siyo mbaya labda kuanzia msimu ujao anaweza akawa kwenye timu kubwa. Anawekwa apate experience kidogoNaona unawaelewa sana The Hazards sana Kimario but Kylian is not ready to play, kawekwa kwenye development team yetu, kuna kina Musonda ndo immediate option na ndo watakua wanaingia sub.
Actually Kylian hayupo hata kwenye 25 players squad iliyopelekwa FA kwa ajili ya ligi kuu
Aliposajiliwa niliweka akiba ya maneno mkuu. Nilivutiwa na Andrea Boletti ambaye alikuwa kwenye rada ya ChelseaIna maana ulikuwa huamini kama una mchezaji?
Naona unawaelewa sana The Hazards sana Kimario but Kylian is not ready to play, kawekwa kwenye development team yetu, kuna kina Musonda ndo immediate option na ndo watakua wanaingia sub.
Actually Kylian hayupo hata kwenye 25 players squad iliyopelekwa FA kwa ajili ya ligi kuu

Kylian yupo kwenye uangaliz soon atapanda january anaweza kupand kwa promo za kaka ake amabe ndo sabab ya kuja kwake chelsea......Naona unawaelewa sana The Hazards sana Kimario but Kylian is not ready to play, kawekwa kwenye development team yetu, kuna kina Musonda ndo immediate option na ndo watakua wanaingia sub.
Actually Kylian hayupo hata kwenye 25 players squad iliyopelekwa FA kwa ajili ya ligi kuu
Yani hatari ni hatari sana.![]()
![]()
Kila nikisoma haya majina ya hiki kikosi sasa naona tupo tayari kwa michuano yote
Kylian yupo kwenye uangaliz soon atapanda january anaweza kupand kwa promo za kaka ake amabe ndo sabab ya kuja kwake chelsea......
Embu kamckilze kaka ake kidogoo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataishiwa kwenda kucheza kwa mkopo Germany au Holland.Kaka yake Thogard Hazard naye alisajiliwa baadae akauzwa kabisaSiyo mbaya labda kuanzia msimu ujao anaweza akawa kwenye timu kubwa. Anawekwa apate experience kidogo
Kylian yupo kwenye uangaliz soon atapanda january anaweza kupand kwa promo za kaka ake amabe ndo sabab ya kuja kwake chelsea......
Embu kamckilze kaka ake kidogoo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah!! Mkuu tuongee ukwel kylian yupo vzur mtakuja muone wenyew kama Baker na van ginkel watamfkiaa...,,,Umemuangalizia youtube? Nenda youtube kawaangalie Lewis Baker na Van Ginkel afu uje kutuambia kama he is better than those two
Aah!! Mkuu tuongee ukwel kylian yupo vzur mtakuja muone wenyew kama Baker na van ginkel watamfkiaa...,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kylian ni kipaji ila hao wamelelewa chesea toka wakiwa miaka 12... Kylian namfanansha na akina Denim Nnamudi, ila Denim amewahiwa tuu....,,,Kaka ake nillimsikiliza week iliyopita anasema wazi he is not good enough to play for chelsea and maybe he never will, dogo ana 22, kwenye nafasi yake tuna vijana kama watano wako loan all over europe.
Kama unafuatilia our youth development kwa haraka haraka Loftus cheek, lewis baker na van ginkel wana uwezo mkubwa kwenye attacking midfield kuliko huyu Kylian
Lewis Renard Baker namuelewa toka kipindi yupo na kina Nditi, ake na chalobah.....Bro umeenda youtube ukamuangalia Lewis Baker?