Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

...haya bana, kwa mara nyingine tena nawapa mkono wa hongera.
I wish Arsene Wenger angemsajili huyu Drogba miaka ile, duuh!
Imekuwa nuksi sasa...
 
Jaman gem ya jan sikuiona nilipata ajali lakin sikuumia gar ndo ilialibika sana mechi ulikuaje japo tulishinda
 
Jaman gem ya jan sikuiona nilipata ajali lakin sikuumia gar ndo ilialibika sana mechi ulikuaje japo tulishinda

game ilikuwa imetulia kaka, arsenal walijitahidi kucheza mpira wa style yao lakini kwa bahati mbaya walikutana na kisiki, the blues!The blues walikuwa wametulia, Terry, Ivanovic,cole,alex,mikel,ramirez,essien, malouda, drogba na anelka ilikuwa raha tupu!
 
Kweli Chelsea kiboko!aminia baba, msimu huu wapinzani mna kazi!nimeipenda combination ya Obi Mikel, Essien na Ramirez!

Mnasemaje wapenzi?
 
ArseNIL needs at least 5 five to compete with the likes of Chelsea and Man Utd, wasubiri vichapo kila msimu
 
bacha kuna special nyuzi ya chelsea hebu jaribu itafuta na uiweke hii yako humo
 
Akirudi Lamps nani ataenda bench?

Jibu litapatikana hapohapo ila sasa hivi vijana wapo full.

Most likely Ramires maana bado ana-adapt to the EPL na yuko very similar to Essien and Lamps, wote watatu ni box-to-box midfielder. Mikel yuko more defensive (anakuwa Makelele type zaidi siku hizi), which gives balance to the team. The good think ni kwamba Essien na Ramires wanaweza kuchukua role ya Mikel wwakati wowote wanapotakiwa, ndo maana Carlo ame-relax maana anajua wachezaji sio wengi kwa idadi lakini "wengi" kwa vile wengi wao wanaweza kucheza zaidi ya position moja.
 
Half time tunaongoza 2-0 dhidi ya Spartak Moscow ndani ya Luzhniki Stadium, wafungaji Zhirkov na Anelka.
 
Spartak wameanza second half kwa nguvu, dk 52 mabao bado 2-0.
 
Game over 2-0 Chelsea. Nine points in the bag, ni kama tumeshaqualify tayari.
 
Broo-splash_1148377a.jpg


karibu darajani Rooney!!
 
Nimependa sub za Carlo .....teenagers!

Ndiyo mkuu Masa, Carlo ni kocha mwenye mambo makuu mawili - Cha kwanza ni kumtengeneza mchezaji kwa kutumia kipaji alichonacho hili ka proove hasa kwa Malouda na Dogo Obi kwani si wale wa kipindi kile cha Jose M au Big Phil

Pili ni kukuza vipaji angalie wameondoka vikongwe kina Deco, Ballack, Benetti na Joe Cole - Lakini kaongeza Benayour pekee na Kuinginza madogo toka Chelsea Reserves.

Ukiangalia kila game ya ushindani lazima achezeshe madogo 2 minimum. nilifurahi sana kuona madogo 3 wakiperform game ya juzi ya UEFA. Thankx Carlo nafikiri sasa Chelsea si ile ya kununua tu ma super stars bali inawategeneza pia - Good Policy!!
 
Ushindi zidi ya Blackburn ni muhimu, Alex amerecover huanda akaanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom