Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

b1284cf89b70c177d2dac75a0770d12a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Christensen natural full back hivyo ni vigumu kumchezesha kama kiungo mkabaji. So Luiz hapo atacheza kama kiungo mkabaji japo kwa kuwa Cahili hayupo basi itabidi abaki nyuma ili kuorganise mabeki wenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu unajua Ku suffer hyo tar 20 kwa spur tutaumia SNA hakuna kiungo htuna beki luiz hawez cheza kiungo afadhali angekuwepo hata Loftus check angalau mie naona conte asajili tu watu timu bado tunayo mzuri sana matic alikosea kumuuza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu unajua Ku suffer hyo tar 20 kwa spur tutaumia SNA hakuna kiungo htuna beki luiz hawez cheza kiungo afadhali angekuwepo hata Loftus check angalau mie naona conte asajili tu watu timu bado tunayo mzuri sana matic alikosea kumuuza


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa
Man of the Match AutoMATIC is Red
Mtajuta mwaka huu na bado.
 
Timu gani EPL ina full backs waliokamilika kwa kiwango cha Luiz, Azpilicuta na Cahili? Sent using Jamii Forums mobile app

Hawa huwa hawachezi kama fullbacks kwenye Chelsea System under Conte, Wanacheza kama three central defenders together. Mwaka uliopita fullbacks / wingbacks were Alonso and Moses for most games. Protected by Kante and Matic. Mechi iliyopita against Burnley alibadilisha kidogo.

Rudiger was one of three central defender and he was not very good in that position. Azpilicueta was on the fullback / wing back position for this game but he was not getting protection from midfield. Halafu ajacheza kwenye hiyo position kwa muda mrefu. Also they lack creativity of Hazard going forward, presence of Diego Costa. Batshuayi hakufanya kazi nzuri, Morata alijitahidi.
 
Asikwambie mtu Chelsea ya mwaka huu itakuwa hatari zaidi kuliko ya mwaka jana. Sote tunakumbuka kuwa Chelsea ilikuwa na kikosi bora kuliko timu nyingine yoyote ya EPL. Hata katika PFA premier league team of the year Chelsea ilikuwa na wachezaji 4 ambao ni Luiz, Cahill, Kante na Hazard na wotehawajauzwa, wamebaki kwenye timu.

Timu pekee iliyoingiza wachezaji wengi nyuma ya Chelsea ni Tottenham iliyoingiza wachezaji 3; Kayle Walker, Dan Rose na Harry Kane.

Timu nyingine zilizobaki ziliingiza atmost mchezaji mmoja mmoja. Man U waliingiza goalkeeper De Gea, Liverpool Sedio Mane, Everton Lukaku na Arsenal hawakuweza kumwingiza mtu yoyote.

Kwa hapo juu inaonekana Tottenham ndo ina wechezaji wengi walioingia katika PFA team nyuma ya Chelsea..

Lakini ikumbukwe pia Kayle Walker tayari ashauzwa Man City na Dany Rose anawindwa sana na Chelsea. Kwa hiyo katika ile list wanapunguza idadi ya wachezaji na ikumbuke kuwa Tottenham haijanunua wachezaji wapya msimu huu.

Sasa unaweza kuanza kupata picha kwa nini nasema Chelsea itakuwa timu tishio zaidi.

Chelsea imemuuza Matic na kumnunua Bakayoko ambaye kiwango chake ni kizuri zaidi. Diego Costa naye ni surplus to requirement na Morata amekuja kuziba pengo lake na naamini muda si mrefu mashabiki wa Chelsea wataacha kum-miss Diego Costa. Lakini pia imeingeza makali ya safu ya ulinzi kwa kumnunua Antonio Ludiger.

Wengine waliouzwa walikuwa reserve ya timu ambao wengi wao ni vijana wadogo ambao wameondoka kwa mkopo kwenye club nyingine ili waive zaidi.

Chelsea haijaishia hapo ila tajiri Abramovic atatoa about £130, 000,000 (£ 130 million) kwa ajili ya kuimarisha kikosi na wachezaji walio katika rada ya Chelsea ni Van Dijk ambaye Chelsea iko tayari kutoa £50M/Dan Rose, Ox Chambalein, Dan Drinkwater na wengineo.

Hivyo waweza kuona jinsi Chelsea itakavyokuwa timu hatari zaidi katika msimu huu kuliko msimu uliopita.

Chelsea lazima ifanye maajabu msimu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asikwambie mtu Chelsea ya mwaka huu itakuwa hatari zaidi kuliko ya mwaka jana. Sote tunakumbuka kuwa Chelsea ilikuwa na kikosi bora kuliko timu nyingine yoyote ya EPL. Hata katika PFA premier league team of the year Chelsea ilikuwa na wachezaji 4 ambao ni Luiz, Cahill, Kante na Hazard na wotehawajauzwa, wamebaki kwenye timu.

Timu pekee iliyoingiza wachezaji wengi nyuma ya Chelsea ni Tottenham iliyoingiza wachezaji 3; Kayle Walker, Dan Rose na Harry Kane.

Timu nyingine zilizobaki ziliingiza atmost mchezaji mmoja mmoja. Man U waliingiza goalkeeper De Gea, Liverpool Sedio Mane, Everton Lukaku na Arsenal hawakuweza kumwingiza mtu yoyote.

Kwa hapo juu inaonekana Tottenham ndo ina wechezaji wengi walioingia katika PFA team nyuma ya Chelsea..

Lakini ikumbukwe pia Kayle Walker tayari ashauzwa Man City na Dany Rose anawindwa sana na Chelsea. Kwa hiyo katika ile list wanapunguza idadi ya wachezaji na ikumbuke kuwa Tottenham haijanunua wachezaji wapya msimu huu.

Sasa unaweza kuanza kupata picha kwa nini nasema Chelsea itakuwa timu tishio zaidi.

Chelsea imemuuza Matic na kumnunua Bakayoko ambaye kiwango chake ni kizuri zaidi. Diego Costa naye ni surplus to requirement na Morata amekuja kuziba pengo lake na naamini muda si mrefu mashabiki wa Chelsea wataacha kum-miss Diego Costa. Lakini pia imeingeza makali ya safu ya ulinzi kwa kumnunua Antonio Ludiger.

Wengine waliouzwa walikuwa reserve ya timu ambao wengi wao ni vijana wadogo ambao wameondoka kwa mkopo kwenye club nyingine ili waive zaidi.

Chelsea haijaishia hapo ila tajiri Abramovic atatoa about £130, 000,000 (£ 130 million) kwa ajili ya kuimarisha kikosi na wachezaji walio katika rada ya Chelsea ni Van Dijk ambaye Chelsea iko tayari kutoa £50M/Dan Rose, Ox Chambalein, Dan Drinkwater na wengineo.

Hivyo waweza kuona jinsi Chelsea itakavyokuwa timu hatari zaidi katika msimu huu kuliko msimu uliopita.

Chelsea lazima ifanye maajabu msimu huu

Sent using Jamii Forums mobile app

MKuu, time will tell.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom