Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani pole nimetoa na vinywaji huu mmekataa!! Ila usijali ...

Onyo: Usijaribu kuja kunicheka kule ishi na mm kwa akili nichukulie kama chombo dhaifu ila chenye kupewa heshima ili maombi yako yasizuiliwe,la sivyo utashindwa mwanzo mwishooooo!! Na daraja utashuka...Hahahhaha hahahhahaha
Asante sana best, sijaona vinywaji ningekunywa aisee

Acha kunitisha best, nitakuja vizuri kukucheka. Lazima nilipe hili unalonifanyia leo ha ha ha ha
 
Mkuu game imepotelea sehemu mbili tu. Najua wanatusaidiaga sana ila upande wa Alonso na Fabregas ndio waliopotea. Kante akajikuta anazunguka kila sehemu tu.

Alonso alikuwa anang'ara nadhani kutokana na Hazard anavyomsaidia kuwa rudisha nyuma mabeki, ila bila Hazard anapoteana sana mechi zote toka pre season. Fabregas amekimbizwa sana katikati pale Xhaka na Elneny wamemzungusha sana.

Bila kupata mbadala mzuri wa Alonso na kupata kiungo Mwingine anaeweza kucheza box to box na kuwekeana misuli kweli, maana hatutegemei Bakayoko na Kante kucheza mechi zote basi msimu huu hakuna chetu hata kodogo.
Wing ni lazima bila kusahau mshambuliaji

Hapo kati najua fabi anacheza kisa bakayoko hajapona
 
Tusidanganyane bado tunahitaji mshambuliaji

Achana na habari za bakayoko na hazard

Tunahitaji mshambuliaji

Halafu morata abadilishiwe jezi ile ina mkosi ile jezi
Japokua mm sio mshabiki wa Chelsea...
Sioni sababu ya msingi hasa ya Conte kumkataa Costa ambaye ameshaprove kwenye ligi ya England.
Forwards wamekua adimu sana kipindi hiki Halafu unamkataa Costa mpambanaji.Morata ni kama kamari mnacheza akichemsha mtarudi kwa Batshuayi..real???
 
Hii post inabidi niweke alama. Ha ha ha ha ha ha kwa kweli najutia na akina cute b ndo wanakuja na misumari ya moto tu. Anaongea huyo
b564bfdb2cdea76ba42130b37af238b1.jpg

Nasikia hili shuti limeleta mpira hadi kule KIBITI .
Unaliongeleaje hilo...
everlenk sogeza maiki tum interview huyu mfiwa..tujue msiba ulitokeaje tokeaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugumu unatoka wapi? Mbona Chelsea umechezwa mzuri? Possession 54 kwa 46, shots nyingi kuliko Arsenal?
Penalties are penalties and will remain to be penalties. Nashangaa mtu anaanza kulaumu eti sijui nini Wala nini! EPL mtu mwenye kikosi zaidi ya Chelsea ni man City Japo atapata shida kuunda Chemistry ya timu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshambuliaji ni muhimu kwenye kikosi chetu ukiangalia tulitakiwa kumaliza mchezo mapema ndani ya dk 90
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom