Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal anakufa kifo kibaya leo
Bwana haha hahaha ahaaaa sawa sawaaa.
8479199c297e917b41b51e8dbf6fae5e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawawezi kusema ngoja nikuambiee Mimi wenzetu wanaomboleza msiba.
Dakk 90
1-1 yaani sare.
Wakapiga penalty..
Hapo ndipo the buluzi walipochezea vinne huku wakiwa wameshinda kamoja tuu.
Hivyo wale jirani Leo wamechukua Ushindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongera zao hawa majirani..aisee hawa mashetani Wa bluu nawaonea uruma msimu huu

young kilimanjaro
 
Wataalam wa anga wamesema wameiona penalt ya Curtios inakatisha KIBITI ikiendelea Na safari

[HASHTAG]#Wachambuzi[/HASHTAG] wa super sport wapo wanabishana wanadai Courtios alifikiri mpira umerudishwa Na foward Na anakuja hivyo akaamua kubutua!

Yule Morata naye kapiga nje hivyo FA inafikiria kumsogezea goal ili awamu nyingine aweze kushinda..
 
Wataalam wa anga wamesema wameiona penalt ya Curtios inakatisha KIBITI ikiendelea Na safari

[HASHTAG]#Wachambuzi[/HASHTAG] wa super sport wapo wanabishana wanadai Courtios alifikiri mpira umerudishwa Na foward Na anakuja hivyo akaamua kubutua!

Yule Morata naye kapiga nje hivyo FA inafikiria kumsogezea goal ili awamu nyingine aweze kushinda..
FA wajaribu na mfumo wa magoli kama ya ragbi ili watu kama wakina curtouis wafikiriwe nao....


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom