Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

c135e86252e9da2dc21fcc30361f2921.jpg

B wa haha hahaha hahaha hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni mimi tu, ila naona kama Morata hata hajiamini, angalia body language yake.
Ila tusubiri msimu uchanganye huenda akaimprove.

Yote kwa yote sioni hii timu yenu mkitetea ubingwa.
 
Mimi ni shabiki wa Chelsea ila tuseme kweli mwaka huu lazima tutafute pakukimbilia kwa sababu kuu zifuatazo


1.Ukimsikiliza Antonio conte alipoulizwa juu ya kuuzwa kwa nemanja matic alisema kua hakua amepanga kumuuza na pia hakutaka kumuuza so waandishi waiulize bodi ya Chelsea

2.Hapo hapo leo imethibitika Antonio akisema hana uwezo wa kuzuia hazard kwenda Barcelona .Hivyo kama barca wakiwa serious hazard Huyooo anaondoka
3.Ukitaka ujue kwann tutatafuta pakujifichia aumie Ngolo kante najua mnaelewa kwamba bakayoko hajaanza mazoezi so bado usajili wake tunauita gamble either pata potea maana aliwika kwa msimu mmoja huwez hakikisha kama ataperfom
4.Morata huyu staki kumzungumzia sana ila ukitaka ujue ubaya wake timu iwe haina mpira utachuki na asipokaza michy batshuayi anayonamba na hapo ndio utamlaani conte kumuuza Diego the governor

5.conte Leo sjui alirogwa jamani hadi Cahill anampanga akapige penati nmeamini ulaya kuna uchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom