Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

timu ka barca ikicheza na atletico madrid away inapata tabu sana,au kwa villareal na sevilla,sasa ndio kwa chelsea white hart lane ni nuksi kwake,man utd kwa fulham craven cottage pia

Mkuu jibu swali pale juu! Usilete habari za sheikh Yahaya hapa......matokeo ya Tot na chelsea tarehe 27.08.2005!
 
Unazidi kuonyesha udhaifu wako wewe kweli ni kiazi

Haya niambie matokeo ya mechi iliyochezwa tarehe
27.08.2005 hapo White Lane kati ya Tot vs Chelsea
sawa ndio mechi yenu ya mwisho kushinda white hart lane hiyo ktk ligi mpaka leo
 
sawa ndio mechi yenu ya mwisho kushinda white hart lane hiyo ktk ligi mpaka leo

Ni miaka minane hiyo! Ama kweli wewe ni kiazi cha matombo kule Morogoro hahahahahahahahah, hebu niambie uliitoa wapi hiyo, goli ziliingilia upande gani wa TV?
 
teh tejh teh umeniweza kaka:becky:

Mazee twende na facts na football mzee haina formula, umeona Juzi Aston Villa alifanywa nini na New castle, sintoshangaa chelsea akapigwa na Stoke City! Hahahahahahahahahah ama Arsenal akamfunga Man Utd. Wazee Chelsea tupo hapa hatutakubali mpindishe historia. Tupo tokea enzi za kina Peter Osgood !!!!!
 
sawa ndio mechi yenu ya mwisho kushinda white hart lane hiyo ktk ligi mpaka leo
wewe ni WORLD CLASS KILAZA. Kwa hiyo 27.08.2005 mpaka leo ni miaka 8 kwa hesabu zako sio? Sasa nimeconfirm kuwa uelewa wako ni ZERO.
 
Mazee twende na facts na football mzee haina formula, umeona Juzi Aston Villa alifanywa nini na New castle, sintoshangaa chelsea akapigwa na Stoke City! Hahahahahahahahahah ama Arsenal akamfunga Man Utd. Wazee Chelsea tupo hapa hatutakubali mpindishe historia. Tupo tokea enzi za kina Peter Osgood !!!!!
Ana matatizo huyo kilaza, hajui anachoandika hapa. Na kwa akili yake ndogo anafikiri kila mshabiki wa Chelsea kaanza wakati wa Abramovich.
 
Ana matatizo huyo kilaza, hajui anachoandika hapa. Na kwa akili yake ndogo anafikiri kila mshabiki wa Chelsea kaanza wakati wa Abramovich.

Nimemkimbiza napenda sana watu wa aina hii.....habari za kwenye vijiwe vya kahawa! Kaona maji marefu haya
 
Nimemkimbiza napenda sana watu wa aina hii.....habari za kwenye vijiwe vya kahawa! Kaona maji marefu haya
True! Jamaa analeta story za kwenye bao, bora umemkimbiza na siku nyingine akome kuja kumwaga upupu wake hapa. Hili ni jukwaa na watu wenye data na wanaojua wanachosema. Cheers matey.
 
Mazee twende na facts na football mzee haina formula, umeona Juzi Aston Villa alifanywa nini na New castle, sintoshangaa chelsea akapigwa na Stoke City! Hahahahahahahahahah ama Arsenal akamfunga Man Utd. Wazee Chelsea tupo hapa hatutakubali mpindishe historia. Tupo tokea enzi za kina Peter Osgood !!!!!
acha zako wewe,mimi nahisi wewe ni 1 wa chelsea abramovich,hata kama nimekosea kukadiria mwaka,ila subiri tarehe 11 desemba ndio tuongee,kaka unijui vizuri niliwatabiria spain toka wamefungwa na swiss ubingwa watu wakaniona mimi chizi,soka nalijua wangu,chelsea mnaongea sana ila hamna kitu subirini mshinde tena 6 kwa stoke,hata ujerumani alishinda 4,4 ila akawakwaa spain,nyie hamna kitu mmechemsha kumuuza ballack,tusiongee sana subirini ligi ikiisha najua nyie ni kelele za wafa maji tu,sina shaka na nyie
 
Ana matatizo huyo kilaza, hajui anachoandika hapa. Na kwa akili yake ndogo anafikiri kila mshabiki wa Chelsea kaanza wakati wa Abramovich.
wewe inaelekea mmojawapo,ila usigoogle hapa mana nakujua haukawii kugoogle na kuanza kujifanya unaijua chelsea toka kitambo,google katavi na lidico basi,mimi hesabu zero,nilihesabu michezo ndio miaka,ila ni kweli hesabu mechi toka 2005 mpaka leo ktk ligi mechi ngapi hamjashinda white hart lane,lazima mkubali,mimi man utd ila nakubali fulham middlesbrough,man city zinatusumbua sana kwao,sawa na newcastle haijawahi kushinda old trafford 1972 google na hiyo basi na mara ya mwisho wamemfunga man utd ni septemba 2001 craig bellamy kipa wa man utd barthez,sina ushabiki wa kahawa nakumbuka sana wangu,usiniangalie kwa wasiwasi,wewe ndie chelsea unajua sasa vizuri kwa google na ngoja si ajabu nikasikia umehamia man city wewe
 
acha zako wewe,mimi nahisi wewe ni 1 wa chelsea abramovich,hata kama nimekosea kukadiria mwaka,ila subiri tarehe 11 desemba ndio tuongee,kaka unijui vizuri niliwatabiria spain toka wamefungwa na swiss ubingwa watu wakaniona mimi chizi,soka nalijua wangu,chelsea mnaongea sana ila hamna kitu subirini mshinde tena 6 kwa stoke,hata ujerumani alishinda 4,4 ila akawakwaa spain,nyie hamna kitu mmechemsha kumuuza ballack,tusiongee sana subirini ligi ikiisha najua nyie ni kelele za wafa maji tu,sina shaka na nyie

Mkuu usiwe na hasira! Zingatia matumizi ya herufi kubwa na vituo kwenye uandishi wako. Hii itasaidia kufikisha ujumbe wako.
Kumbe wewe ni mtabiri ni ngumu sana mimi kukuelewa ndugu yangu. Ninapata shida sana na ufahamu wako wa vitu vya msingi.
 
Nimemkimbiza napenda sana watu wa aina hii.....habari za kwenye vijiwe vya kahawa! Kaona maji marefu haya
na ninaomba namba ya simu tarehe 11 desemba spurs vs chelsea nawatafuta sana watu kama nyie,ili niwaonyeshe maneno yangu yana ukweli ndani yake,hata kamali ntaichezea spurs siku hiyo
 
wewe inaelekea mmojawapo,ila usigoogle hapa mana nakujua haukawii kugoogle na kuanza kujifanya unaijua chelsea toka kitambo,google katavi na lidico basi,mimi hesabu zero,nilihesabu michezo ndio miaka,ila ni kweli hesabu mechi toka 2005 mpaka leo ktk ligi mechi ngapi hamjashinda white hart lane,lazima mkubali,mimi man utd ila nakubali fulham middlesbrough,man city zinatusumbua sana kwao,sawa na newcastle haijawahi kushinda old trafford 1972 google na hiyo basi na mara ya mwisho wamemfunga man utd ni septemba 2001 craig bellamy kipa wa man utd barthez,sina ushabiki wa kahawa nakumbuka sana wangu,usiniangalie kwa wasiwasi,wewe ndie chelsea unajua sasa vizuri kwa google na ngoja si ajabu nikasikia umehamia man city wewe

Nimejaribu kusoma hapa nimekaribia kutapika, kwanza pumba na pili muandishi hazingatii taratibu za uandishi. Nadhani anahasira!
 
True! Jamaa analeta story za kwenye bao, bora umemkimbiza na siku nyingine akome kuja kumwaga upupu wake hapa. Hili ni jukwaa na watu wenye data na wanaojua wanachosema. Cheers matey.
msikimbie tarehe 11 desemba,kuna shabiki 1 chelsea huku alikuwa arsenal,msimu uliopita alikuja na mbwembwe eti oh leo spurs utachapa nyingi baada ya kuona wamechapa sijui sunderland mechi iliyopita 5-0,nikamwambiaje ni bora hata arsenal alichapwa 2-1 lakini walionyesha uhai,sasa nyie mtatota kabisha,siku ya mechi alilowa mana kama ball possession ilikuwa sours 95 chelsea 5,wangetulia mlikuwa mnakula 7,puvlyshenko alikosa sana mabao angekuwa crouch mngekoma na mshukuru bao lenu la penati la lampard,msimu uliopita 3,man utd ndie anamweza spurs,yani spurs hata waongoze 5-0 haf taimu kwa man utd bado wanaweza kufungwa,rudi 2001 octoba waliongoza 3-0 hadi ht,mimi niliondoka nilijua tayari dhahama mana tulikuwa tumetoka kufungwa na deportivo 2-1 ktk uefa champs ligi kwao kina tristan na pandiani na marudiano walitufunga trafford ktk makundi ilikuwa lakini knockout man utd wakajibu hadi wakamuumiza becks kisai kuwa hatihati kukosa world cup 2002,newcastle nae katuchapa 4-3,sasa nikaondoka jamaa mpenzi wa man ananiambia tumeshinda 5-3 nilimbishia mpaka nikanunua gazeti kuhakikisha hadi la blank(kocha wa france sasa) kafunga siku hiyo,sasa nakusubiri kwa hamu tarehe 11 desemba tuone
 
msikimbie tarehe 11 desemba,kuna shabiki 1 chelsea huku alikuwa arsenal,msimu uliopita alikuja na mbwembwe eti oh leo spurs utachapa nyingi baada ya kuona wamechapa sijui sunderland mechi iliyopita 5-0,nikamwambiaje ni bora hata arsenal alichapwa 2-1 lakini walionyesha uhai,sasa nyie mtatota kabisha,siku ya mechi alilowa mana kama ball possession ilikuwa sours 95 chelsea 5,wangetulia mlikuwa mnakula 7,puvlyshenko alikosa sana mabao angekuwa crouch mngekoma na mshukuru bao lenu la penati la lampard,msimu uliopita 3,man utd ndie anamweza spurs,yani spurs hata waongoze 5-0 haf taimu kwa man utd bado wanaweza kufungwa,rudi 2001 octoba waliongoza 3-0 hadi ht,mimi niliondoka nilijua tayari dhahama mana tulikuwa tumetoka kufungwa na deportivo 2-1 ktk uefa champs ligi kwao kina tristan na pandiani na marudiano walitufunga trafford ktk makundi ilikuwa lakini knockout man utd wakajibu hadi wakamuumiza becks kisai kuwa hatihati kukosa world cup 2002,newcastle nae katuchapa 4-3,sasa nikaondoka jamaa mpenzi wa man ananiambia tumeshinda 5-3 nilimbishia mpaka nikanunua gazeti kuhakikisha hadi la blank(kocha wa france sasa) kafunga siku hiyo,sasa nakusubiri kwa hamu tarehe 11 desemba tuone

Kuna kitu kinaitwa communication skills, kwanini usifanye hata part time? Mambo ya Sheikh Yahaya wengine hayapandi kabisa. Sorry buddy
 
Wakuu wa Darajani, REV MASA, BELO, PEASANT na wengineo, nafikiri tumekuwa happy so far kupata point 6 na magoli 12 kwa game mbili, hii ni 100% perfomance. Kuna wadau wa Man U, Arsenali na Liver wanasema hatujapata test kubwa, games tulizocheza si zile za kujustify kwamba kweli Chelsea ipo ready kutetea ubigwa wake tena.

Inaweza kuwa kweli lakini mimi naamini timu yoyote ya premiership lazima ina kiwango, anyway nachosema ni kwamba chelsea itatumia game hizi za mwanzo kuwa fit zaidi kutokana na poor perfonance ya games za preseasons.

Game inayofuata ni ya Stoke City hapo hapo darajani, sina wasiwasi wowote kwamba itakuwa point 9 na mabao si chini ya 12 baada ya dk 90.

Game zinazofuata ni, Ungenini kwa WESTHAM, Nyumbani na Blackpool, Away kwa MAN CITY hii itakuwa September 25 (Big Chelsea test)

Napenda kuwaambia wadau kwamba tuna games 3 kabla ya big game, by then nina uhakika wachezaji wote watakuwa fit asilimia mia.

Hata ukiangalia A.Cole, Terry na Lampard wanarudia form zao baada ya world cup hangover - wakuu si ushabiki lakini ukweli magoli 12 kwa game 2 si mchezo. Salaam tunatuma old Traford tunakuja hapo hapo kwenu.
 
EL NINO samahani mimi ni RED DEVIL,THE BLUES ni timu ya Ma-MOD wa JF kuanzia Invisible,Maxence Melo,Ab Tchaz na posibly FARIDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom